wakuu naombeni mjuze hivi hizi hela na mali ambazo wageruman walizifukia njini zilikuwa na maana gani na zilikuwa za ina gani kwa mfano nasikia kulikuwa na moja inatwa rupire
nimeuliza hivi kwasababu nimepita sehemu nimekuta kundi la vijana wakichimba maandaki eti wanazitafuta hizo rupiier na moja wao alinitonya kuwa ukipata moja inadhamani ya bil3
wakuu naombeni mjuze hivi hizi hela na mali ambazo wagermany walizifukia chini zilikuwa na maana gani na zilikuwa za ina gani kwa mfano nasikia kulikuwa na moja inatwa rupire
nimeuliza hivi kwasababu nimepita sehemu nimekuta kundi la vijana wakichimba maandaki eti wanazitafuta
hizo rupiier na moja wao alinitonya kuwa ukipata moja
inadhamani ya bil3
wakuu naombeni mjuze hivi hizi hela na mali ambazo wagermany walizifukia chini zilikuwa na maana gani na zilikuwa za ina gani kwa mfano nasikia kulikuwa na moja inatwa rupire
nimeuliza hivi kwasababu nimepita sehemu nimekuta kundi la vijana wakichimba maandaki eti wanazitafuta hizo rupiier na moja wao alinitonya kuwa ukipata moja inadhamani ya bil3
tafuta uzi huu 'rupia...hazina ya mjerumani', ina majibu yote kule jamii intelligence.
NaTaMAnI sAnA kuONa mWanDiKo wAKo
Jinsi alivyoandika hata sijui kama ataweza <Unadharau, natamani kuona CV yako