Acha ujanja ujanja mkuuTechnically linalipuka provided detonation fuse ipo sawa ndiomaana mabomu ya ww2 huko ulaya mpaka leo wakitaka kutegua watahamisha watu
Inapoishia elimu ya kawaida ndio inaanza elimu usiyoijuaAcha ujanja ujanja mkuu
Yaani naona unaleta story za freemason na makafara yao
Hakuna elimu hapo mnaongea vitu vya ajabu ajabu sanaInapoishia elimu ya kawaida ndio inaanza elimu usiyoijua
Ukiona hivyo hii hoja tuachie wajinga tuijadili wewe haikuhusu utakuwa umetuzidi upeo wa akiliHakuna elimu hapo mnaongea vitu vya ajabu ajabu sana
Unaleta mashimo ya vyoo yamejengelewa kabisa tofali eti wajerumani wamechukua mali
Kweli watanzania bado sana
EndeleeniUkiona hivyo hii hoja tuachie wajinga tuijadili wewe haikuhusu utakuwa umetuzidi upeo wa akili
Hawa wanaosema wajerumani waliondolewa na Nyerere ndio rahisi sana kuwadakaWadau, kama tumewahi sikia kwamba wajerumani waliacha Mali zao walizozichuma hapa kwetu kutokana na kile kinachosemekana ni kuondolewa ghafla na MWL.nyerere kutokana na agizo la UN.sasa ishu inapokuja ni pale ambapo watu wamebaini uwepo wa Mali hizo jinsi ya kuzichukua. Watu wengine hutumia waganga wa kienyeji lkn huambulia patupu, wengine hubahatika, wengine hupata madhara makubwa. Maswali tunaojiuliza ni je hawa wajeruman hatuwawezi?. Mchango wenu wadau.
Endeleeni
Tazama hekaya hii, mara 7 bunduki haiishi risasi tu na inapiga kwa mfululizo(Rapid Mode)?Maeneo ya mvomero kwenye safu za milima ya Unguu kuna Mzee wangu aliungana na wasaka rupia walipanda kuelekea kileleni kwa muda wa siku 4 walishangaa kumkuta mjeruman kapiga suti na yupo bize kwenye kaofisi kazuri ka vioo huko karibu na kilele!, kuna mganga walikuwa nae akapiga manyanga bila mafanikio wakaamua kupiga jiwe mlangoni walishtukia yule mjerumani yupo miongon mwao! Walitimua mbio walikutana nyumban yule mganga aliuacha mkoba wake hakuufata tena. Kuna wengine walikuta pango lenye mlango finyu wakaona masanduku lakini kwa juu kuna bunduki ikielekea mlangoni halafu kuna nyaya zimeingia kwenye trigger lakini chanzo cha zile nyaya hakionekani na kuna mjeda ndugu yangu aliefika hapo aliàmua kurusha jiwe mlangon anasema bunduki ilitema risasi hadi jiwe lililokuwa kwa mbele liliçhakaa na akagundua kuna mkanda wa risasi usioisha kibaya zaidi ile bunduki inacheza pande zote za mlango! Alikwenda karibu Mara 7 bunduki bado active.
Freemason wapo ila utasikia wanatoa makafara sijui wanaabudu shetani nk huo ni uongoNimesema unapenda kuitaja freemason kwakuwa nimeona kwenye comments zako kadhaa ukihusisha freemason na hii issue ya Mali za mjerumani, kuwa wanaoamini freemason wako sawa na wanaoamini issue za rupia, anyway point yangu ni kwamba freemason sio kitu cha kusadikika maana wanajulikana na wapo, ila ukisema hizi mambo za Mali za mjerumani ni fix unaweza kueleweka maana ni ngumu kukutana na mtu aliepata hizo hela za mjerumani
Wanasikitisha sanaNi dhambi kubwa sana kuwaachia watu kuendeleza unyonge wa kutumia fikra. Endelea kupambana nao.
we ndio jamii ya wale wasomi wanaozungukaga na bahasha za kaki mjini kusaka ajiraFreemason wapo ila utasikia wanatoa makafara sijui wanaabudu shetani nk huo ni uongo
Unajuaje kama mimi ni msomi?we ndio jamii ya wale wasomi wanaozungukaga na bahasha za kaki mjini kusaka ajira
Katika maeneo ya nyanda za juu kusini mwa tanganyika walipo weka vitu vyao vya kutosha ni Mbeya,sasa ukisema hakuna hivyo vitu mmmhhh,peleleza vyema utapata majibu sahihi.Hakika hakuna rupia zilizofichwa Mbeya. Maana mji wa Mbeya ulianzishwa na Waingereza baad ya vita, hapakuwa na mji wakati wa Wajerumani. Makao makuu yao yalikuwa Tukuyu (waliyoita Neu-Langenburg); hasa pale Masoko karibu na Tukuyu kulikuwa na kambi la jeshi na wakati wa kukaribia kwa Waingereza walitupa akiba ya pesa kwenye ziwa la Masoko; sijui kama watoto bado wanachukua sarafu za Kijerumani kwenye maji lakini pesa hiyi ilikuwa hasa akiba ya senti zao zilizoitwa Heller.
Kabisa kabisa mkuu umejibu kwa hekima mno.Kuna elimu kubwa sana kulizidi hako kaelimu kako unakokaita "GRADUATE" ambayo wewe huijui
Kuna picha naomba nikutumie PM nasubiria ruhusa yako tafadhaliKabisa kabisa mkuu umejibu kwa hekima mno.
kuwa na amani mkuu nitumie tuKuna picha naomba nikutumie PM nasubiria ruhusa yako tafadhali
Mkuu,
Suala la Rupee/ Rupia ni fedha iliyotumika wakati wa Ukoloni wa Mjerumani. Kuhusu thamani ya fedha hiyo haina thamani yoyote kama inavyodhaniwa. Pamoja na hilo la utafutaji hazina na hilo la utafutaji Rupia ni mbinu za Wajanja ( Matapeli) kujipatia fedha kwa watu wanaowalenga. Wengi wamelizwa kwa mtindo huu wa utajiri wa haraka na mteremko.
share link ya hiyo video plzNenda you tube kuna jamaa anatoa ushuhuda wa kisa flani hivi cha kishetani shetani na ameongea sana kuhusu hayo mambo ya rupia na Mercury unaweza kumwamini labda.
Mimi kwa nilivyomsikiliza nimeamini kweli hivyo vitu vipo (rupia+mercury) ila sasa kuvipata mzee Baba duuh...sitaki kusema zaidi ila huwezi vitoa chini ya ardhi bila wajerumani waliochiwa hizo ramani na Mababu zao
share link ya hiyo video plz
Unanakili mstari wa URL pale juu kwenye ukurasa.Sijui namna ya ku-share kwa JF