DOKEZO Rushwa hospitali ya wilaya ya Kahama inatisha

DOKEZO Rushwa hospitali ya wilaya ya Kahama inatisha

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Mwislam by choice

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2017
Posts
361
Reaction score
471
Naishi kanda ya kaskazin huku huduma za afya ni nzuri kwa wateja wa bima kwakuwa watu walioelimika ni wengi ( watu wanatambua haki zao).

Kuna ndugu yangu anapata huduma katika hospital ya walaya ya Kahama kwakweli huduma ni ngumu sana kila mtu anataka pesa ili upate haki ya huduma, Mshika file tu anataka 10k kweli usawa huu.

Kibaya zaidi huduma kama hiyo huku kwa mteja wa NHIF tunafanya bure bila makato ni kwenye kadi inauma saaana kama mtu anabima ananyanyasika hivyo.

PCCB waiangalie saana huduma pale ni ngumu sana
 
Hospitali zote za serikali kuna rushwa, si cha muhimbili wala mwananyamala, wala hospitali yeyote ya mkoa au ya rufaa.

Hata usipotoa utamwona tu nesi na daktari mimacho inawatoka wana matarajio kwamba utawapa asante. kuna mwaka niliwahi kuhangaika sana na mke wangu akiwa mjamzito, tangu hapo huwa nikiwaangalia manesi na madaktari, napata hasira kabisa. Mungu awasaidie.
 
Naishi kanda ya kaskazin huku huduma za afya ni nzuri kwa wateja wa bima kwakuwa watu walioelimika ni wengi ( watu wanatambua haki zao).

Kuna ndugu yangu anapata huduma katika hospital ya walaya ya kahama kwakweli huduma ni ngumu sana kila mtu anataka pesa ili upate haki ya huduma, Mshika file tu anataka 10k kweli usawa huu.

Kibaya zaidi huduma kama hiyo huku kwa mteja wa NHIF tunafanya bure bila makato ni kwenye kadi inauma saaana kama mtu anabima ananyanyasika hivyo.

PCCB waiangalie saana huduma pale ni ngumu sana

Lawama nyingi hIzi ni kutokana na wingi wa medical attendants. Hawa huvaa kama madaktari au manesi.

Kwanini medical attendants kuwa wwngi hivi kwenye hospitali za umma?

Kwanini medical attendants kufanya Hadi shughuli za kitabu au kiuguzi kwenye hospitali za umma?

Hali ni hivyo hivyo kwenye hospitali zote za umma zikiwemo Muhimbili, ocean road, Mloganzila nk.

Muhimbili wagonjwa wengi wanaofariki kutokana na matatizo ya uzazi wa operation huwa wamefanyiwa au kutunzwa na medical attendants.

Kada hii iondolewe kushughulika na wagonjwa. Ijikite wanakopaswa kuwa - kwenye usafi.

Tungali na safari ndefu sana kwamba wizara haina taarifa hIzi.

Mola aturehemu.
 
Back
Top Bottom