Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Kwani Mwakyembe hakutoa rushwa ?Kwa mbaaaaaali naona unamtetea Mwakyembe kama inakuja halafu inakata fulani
jiulize wewe .Kwa hiyo hadi Kananasi alipata wapi hela yule?
Wewe na Nani?Actually majimbo yote tunawapa CHADEMA, Urais CCM
Vizuri sn sn....unaijua nguvu ya mgombea wa Chadema Kyela ?