Rushwa inaanza kwa style hii.

Unamteka mwanamuziki haijalishi ni bongo flava au muziki wa dansi.... Baadae mtekwaji anaandaa press conference na wewe ukiwepo, huku akishindwa kufunguka....
 
Unamteka mwanamuziki haijalishi ni bongo flava au muziki wa dansi.... Baadae mtekwaji anaandaa press conference na wewe ukiwepo, huku akishindwa kufunguka....
unamsemea mtu fulanii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mzazi unajamba halafu mtoto anakuwa wa kwanza kuomba msamaha na kipigo unamshushia huu ndio mwanzo wa uoga Tanzania.
 
Mtoto unamchapa, alafu unambembeleza kwa kumwambia....nani mbaya..? Mama...? Uncle Juma....?

Huo ndio mwanzo wa kumfundisha mtoto tabia ya Uongo na kusingizia...!!
 
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚ mzuri sana hyo
 
Mtoto unamchapa, alafu unambembeleza kwa kumwambia....nani mbaya..? Mama...? Uncle Juma....?

Huo ndio mwanzo wa kumfundisha mtoto tabia ya Uongo na kusingizia...!!
that true
 
Kuwaambia watoto kuwa watoto wanauzwa hospitalini ndiyo mwanzo wa mimba za utotoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…