Rushwa itangazwe janga la taifa!

Rushwa itangazwe janga la taifa!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tanzania ni lazima tusome nyakati. Ruhswa inaelekea imeshindikana kama tutasubiri serikali itatue hili tatizo. Lakini ni lazima mkakati uwekwe kitaifa bila hivyo tutakuwa tuna bebe maji na gunia.

Hatiwezi kama nchi kwa upande mmoja serikali inahimiza uwekezaji na utawala bora wakati huohuo kuna rushwa kuanzia kwenye kitongoji mpaka serikali kuu. Yaani ni mpaka inatishia uchumi kwa sasa nitatoa mifano hapa

1. Kwenye vitongoji na vijiji huwezi kupata Muktasari wa shamba kama wewe ni mnunuzi bila rushwa yaani kikao chao hadi cha madiwani ni cha kugawana pesa

2. Wakuu wa wilaya ndiyo wanaongoza kuchukua pesa za migogoro ya Ardhi

3. Polisi ndiyo rushwa ilipozaliwa badala ya kulinda watu wanalinda rushwa. Ukienda stendi wale traffic wanapelekea wakubwa wao rushwa

4. Wizarani kwa vigogo kuna rushwa kubwa kuanzia TRA , Mabasi ya kwenda kasi mifumo inahujumiwa makusudi, wachina wanasaidiana na mawaziri kuweka mashine za kamari mpaka vijijini! na ndiyo sababu zipo mpaka leo

5. Kwenye uongozi wa juu ni mikataba ya sirisiri tu kuanzia airport ya Kia, bandari ya dar, misitu ya carbon credit….. yaani miradi mingi sana

6. Mahakamani nako kuna rushwa

Sasa tujiulize kama kila mahali pana rushwa ni mifumo gani wa maendeleo utafanikiwa?

Tatizo la rushwa halijaanza leo limekuwa utamaduni na udekezaji wa wala rushwa ulianza enzi za Mwinyi mpaka leo.

Moja ya tatizo ni kwamba viongozi wasiopenda rushwa wanahujumiwa sana na kuonekana wajinga na slow.

Ni lazima adhabu za wala rushwa ziongezeke. Bila nia za ukomeshaji wa rushwa utajiri na maendeleo yatabaki kwa wachache wasio na vipaji wala juhudi.
 
Hata ikitangazwa haitasaidia kitu. Nyerere alitangaza maradhi, ujinga na umaskini kuwa ndiyo maadui wakuu wa nchi hii, lkn mpk leo tunao.
 
CCM Imeshahararisha rushwa unategemea nani atakemea
 
Kama rushwa haijawahi kukusaidia maishani mwako utaichukia sana ila Mimi rushwa sijawahi ona ubaya wake,kubwa tupambane kusaka noti ili penye vikwazo tuipenyeze
 
Tanzania ni lazima tusome nyakati. Ruhswa inaelekea imeshindikana kama tutasubiri serikali itatue hili tatizo. Lakini ni lazima mkakati uwekwe kitaifa bila hivyo tutakuwa tuna bebe maji na gunia.

Hatiwezi kama nchi kwa upande mmoja serikali inahimiza uwekezaji na utawala bora wakati huohuo kuna rushwa kuanzia kwenye kitongoji mpaka serikali kuu. Yaani ni mpaka inatishia uchumi kwa sasa nitatoa mifano hapa

1. Kwenye vitongoji na vijiji huwezi kupata Muktasari wa shamba kama wewe ni mnunuzi bila rushwa yaani kikao chao hadi cha madiwani ni cha kugawana pesa

2. Wakuu wa wilaya ndiyo wanaongoza kuchukua pesa za migogoro ya Ardhi

3. Polisi ndiyo rushwa ilipozaliwa badala ya kulinda watu wanalinda rushwa. Ukienda stendi wale traffic wanapelekea wakubwa wao rushwa

4. Wizarani kwa vigogo kuna rushwa kubwa kuanzia TRA , Mabasi ya kwenda kasi mifumo inahujumiwa makusudi, wachina wanasaidiana na mawaziri kuweka mashine za kamari mpaka vijijini! na ndiyo sababu zipo mpaka leo

5. Kwenye uongozi wa juu ni mikataba ya sirisiri tu kuanzia airport ya Kia, bandari ya dar, misitu ya carbon credit….. yaani miradi mingi sana

6. Mahakamani nako kuna rushwa

Sasa tujiulize kama kila mahali pana rushwa ni mifumo gani wa maendeleo utafanikiwa?

Tatizo la rushwa halijaanza leo limekuwa utamaduni na udekezaji wa wala rushwa ulianza enzi za Mwinyi mpaka leo.

Moja ya tatizo ni kwamba viongozi wasiopenda rushwa wanahujumiwa sana na kuonekana wajinga na slow.

Ni lazima adhabu za wala rushwa ziongezeke. Bila nia za ukomeshaji wa rushwa utajiri na maendeleo yatabaki kwa wachache wasio na vipaji wala juhudi.
Sasa unataka liwe janga au Liwe Tunu La Taifa?
 
Tanzania ni lazima tusome nyakati. Ruhswa inaelekea imeshindikana kama tutasubiri serikali itatue hili tatizo. Lakini ni lazima mkakati uwekwe kitaifa bila hivyo tutakuwa tuna bebe maji na gunia.

Hatiwezi kama nchi kwa upande mmoja serikali inahimiza uwekezaji na utawala bora wakati huohuo kuna rushwa kuanzia kwenye kitongoji mpaka serikali kuu. Yaani ni mpaka inatishia uchumi kwa sasa nitatoa mifano hapa

1. Kwenye vitongoji na vijiji huwezi kupata Muktasari wa shamba kama wewe ni mnunuzi bila rushwa yaani kikao chao hadi cha madiwani ni cha kugawana pesa

2. Wakuu wa wilaya ndiyo wanaongoza kuchukua pesa za migogoro ya Ardhi

3. Polisi ndiyo rushwa ilipozaliwa badala ya kulinda watu wanalinda rushwa. Ukienda stendi wale traffic wanapelekea wakubwa wao rushwa

4. Wizarani kwa vigogo kuna rushwa kubwa kuanzia TRA , Mabasi ya kwenda kasi mifumo inahujumiwa makusudi, wachina wanasaidiana na mawaziri kuweka mashine za kamari mpaka vijijini! na ndiyo sababu zipo mpaka leo

5. Kwenye uongozi wa juu ni mikataba ya sirisiri tu kuanzia airport ya Kia, bandari ya dar, misitu ya carbon credit….. yaani miradi mingi sana

6. Mahakamani nako kuna rushwa

Sasa tujiulize kama kila mahali pana rushwa ni mifumo gani wa maendeleo utafanikiwa?

Tatizo la rushwa halijaanza leo limekuwa utamaduni na udekezaji wa wala rushwa ulianza enzi za Mwinyi mpaka leo.

Moja ya tatizo ni kwamba viongozi wasiopenda rushwa wanahujumiwa sana na kuonekana wajinga na slow.

Ni lazima adhabu za wala rushwa ziongezeke. Bila nia za ukomeshaji wa rushwa utajiri na maendeleo yatabaki kwa wachache wasio na vipaji wala juhudi.
Viongozi wa juu wanawapa magari Viongozi wa DINI. Kule Kenya Kanisa liliwahi kukataa msaada wa gari kutoka kwa Kiongozi karibia na uchaguzi. Viongozi wa vyama wanalipwa hela ili kuhama vyama vyao.
 
Hili swala ni kubadili culture kuanzia shule za vidudu, kuweka mifumo na technology ambayo rushwa haitawezekana na kujenga strong independent institutions kupigana na hili tatizo , kupiga kelele tuu majukwaani au TAKURURU iliyoingiliwa na wanasiasa wa CCM haitasaidia
 
Tanzania ni lazima tusome nyakati. Ruhswa inaelekea imeshindikana kama tutasubiri serikali itatue hili tatizo. Lakini ni lazima mkakati uwekwe kitaifa bila hivyo tutakuwa tuna bebe maji na gunia.

Hatiwezi kama nchi kwa upande mmoja serikali inahimiza uwekezaji na utawala bora wakati huohuo kuna rushwa kuanzia kwenye kitongoji mpaka serikali kuu. Yaani ni mpaka inatishia uchumi kwa sasa nitatoa mifano hapa

1. Kwenye vitongoji na vijiji huwezi kupata Muktasari wa shamba kama wewe ni mnunuzi bila rushwa yaani kikao chao hadi cha madiwani ni cha kugawana pesa

2. Wakuu wa wilaya ndiyo wanaongoza kuchukua pesa za migogoro ya Ardhi

3. Polisi ndiyo rushwa ilipozaliwa badala ya kulinda watu wanalinda rushwa. Ukienda stendi wale traffic wanapelekea wakubwa wao rushwa

4. Wizarani kwa vigogo kuna rushwa kubwa kuanzia TRA , Mabasi ya kwenda kasi mifumo inahujumiwa makusudi, wachina wanasaidiana na mawaziri kuweka mashine za kamari mpaka vijijini! na ndiyo sababu zipo mpaka leo

5. Kwenye uongozi wa juu ni mikataba ya sirisiri tu kuanzia airport ya Kia, bandari ya dar, misitu ya carbon credit….. yaani miradi mingi sana

6. Mahakamani nako kuna rushwa

Sasa tujiulize kama kila mahali pana rushwa ni mifumo gani wa maendeleo utafanikiwa?

Tatizo la rushwa halijaanza leo limekuwa utamaduni na udekezaji wa wala rushwa ulianza enzi za Mwinyi mpaka leo.

Moja ya tatizo ni kwamba viongozi wasiopenda rushwa wanahujumiwa sana na kuonekana wajinga na slow.

Ni lazima adhabu za wala rushwa ziongezeke. Bila nia za ukomeshaji wa rushwa utajiri na maendeleo yatabaki kwa wachache wasio na vipaji wala juhudi.
Rushwa ni janga hakika ,embu fikiria chama kama chadema mwenyekiti hawezi ondoka hdi atake mwenyewe
 
Maadui Wa Tanzania Ni
Ujinga

Umasikini
Maradhi
Rushwa *
 
Tanzania ni lazima tusome nyakati. Ruhswa inaelekea imeshindikana kama tutasubiri serikali itatue hili tatizo. Lakini ni lazima mkakati uwekwe kitaifa bila hivyo tutakuwa tuna bebe maji na gunia.

Hatiwezi kama nchi kwa upande mmoja serikali inahimiza uwekezaji na utawala bora wakati huohuo kuna rushwa kuanzia kwenye kitongoji mpaka serikali kuu. Yaani ni mpaka inatishia uchumi kwa sasa nitatoa mifano hapa

1. Kwenye vitongoji na vijiji huwezi kupata Muktasari wa shamba kama wewe ni mnunuzi bila rushwa yaani kikao chao hadi cha madiwani ni cha kugawana pesa

2. Wakuu wa wilaya ndiyo wanaongoza kuchukua pesa za migogoro ya Ardhi

3. Polisi ndiyo rushwa ilipozaliwa badala ya kulinda watu wanalinda rushwa. Ukienda stendi wale traffic wanapelekea wakubwa wao rushwa

4. Wizarani kwa vigogo kuna rushwa kubwa kuanzia TRA , Mabasi ya kwenda kasi mifumo inahujumiwa makusudi, wachina wanasaidiana na mawaziri kuweka mashine za kamari mpaka vijijini! na ndiyo sababu zipo mpaka leo

5. Kwenye uongozi wa juu ni mikataba ya sirisiri tu kuanzia airport ya Kia, bandari ya dar, misitu ya carbon credit….. yaani miradi mingi sana

6. Mahakamani nako kuna rushwa

Sasa tujiulize kama kila mahali pana rushwa ni mifumo gani wa maendeleo utafanikiwa?

Tatizo la rushwa halijaanza leo limekuwa utamaduni na udekezaji wa wala rushwa ulianza enzi za Mwinyi mpaka leo.

Moja ya tatizo ni kwamba viongozi wasiopenda rushwa wanahujumiwa sana na kuonekana wajinga na slow.

Ni lazima adhabu za wala rushwa ziongezeke. Bila nia za ukomeshaji wa rushwa utajiri na maendeleo yatabaki kwa wachache wasio na vipaji wala juhudi.

zitto junior Pascal Mayalla
 
Rushwa sio janga la kitaifa, ni utamaduni wa mtanzania. Watanzania wanapenda kutoa na kupokea rushwa, hawataki kufuata njia nyembamba iliyonyooka.
 
Itangazwe janga la taifa ama moja ya nyenzo ya kazi ya taifa?

Chura Kiziwi alishatoa ruhsa za watu kula kwa urefu wa kamba zao. Sehemu yeyote ukitaka lako lifanyike kwa sasa ni lazima utoe rushwa. So ni bora itangazwe kuwa ni moja ya kisukuma ufanisi Tanzania.
 
Tanzania ni lazima tusome nyakati. Ruhswa inaelekea imeshindikana kama tutasubiri serikali itatue hili tatizo. Lakini ni lazima mkakati uwekwe kitaifa bila hivyo tutakuwa tuna bebe maji na gunia.

Hatiwezi kama nchi kwa upande mmoja serikali inahimiza uwekezaji na utawala bora wakati huohuo kuna rushwa kuanzia kwenye kitongoji mpaka serikali kuu. Yaani ni mpaka inatishia uchumi kwa sasa nitatoa mifano hapa

1. Kwenye vitongoji na vijiji huwezi kupata Muktasari wa shamba kama wewe ni mnunuzi bila rushwa yaani kikao chao hadi cha madiwani ni cha kugawana pesa

2. Wakuu wa wilaya ndiyo wanaongoza kuchukua pesa za migogoro ya Ardhi

3. Polisi ndiyo rushwa ilipozaliwa badala ya kulinda watu wanalinda rushwa. Ukienda stendi wale traffic wanapelekea wakubwa wao rushwa

4. Wizarani kwa vigogo kuna rushwa kubwa kuanzia TRA , Mabasi ya kwenda kasi mifumo inahujumiwa makusudi, wachina wanasaidiana na mawaziri kuweka mashine za kamari mpaka vijijini! na ndiyo sababu zipo mpaka leo

5. Kwenye uongozi wa juu ni mikataba ya sirisiri tu kuanzia airport ya Kia, bandari ya dar, misitu ya carbon credit….. yaani miradi mingi sana

6. Mahakamani nako kuna rushwa

Sasa tujiulize kama kila mahali pana rushwa ni mifumo gani wa maendeleo utafanikiwa?

Tatizo la rushwa halijaanza leo limekuwa utamaduni na udekezaji wa wala rushwa ulianza enzi za Mwinyi mpaka leo.

Moja ya tatizo ni kwamba viongozi wasiopenda rushwa wanahujumiwa sana na kuonekana wajinga na slow.

Ni lazima adhabu za wala rushwa ziongezeke. Bila nia za ukomeshaji wa rushwa utajiri na maendeleo yatabaki kwa wachache wasio na vipaji wala juhudi.
Sasa ata ukilalamika unaowalalamikia ndio wana mamlaka na ndio wametaka hiwe hivyo na huna cha kuwafanya.

wewe fanya tu maisha yako na familia yako na kwenye pilika zajo ukikutana na pande la nyama usijifikirie mara mbili liwalo na liwe.
 
Tanzania ni lazima tusome nyakati. Ruhswa inaelekea imeshindikana kama tutasubiri serikali itatue hili tatizo. Lakini ni lazima mkakati uwekwe kitaifa bila hivyo tutakuwa tuna bebe maji na gunia.

Hatiwezi kama nchi kwa upande mmoja serikali inahimiza uwekezaji na utawala bora wakati huohuo kuna rushwa kuanzia kwenye kitongoji mpaka serikali kuu. Yaani ni mpaka inatishia uchumi kwa sasa nitatoa mifano hapa

1. Kwenye vitongoji na vijiji huwezi kupata Muktasari wa shamba kama wewe ni mnunuzi bila rushwa yaani kikao chao hadi cha madiwani ni cha kugawana pesa

2. Wakuu wa wilaya ndiyo wanaongoza kuchukua pesa za migogoro ya Ardhi

3. Polisi ndiyo rushwa ilipozaliwa badala ya kulinda watu wanalinda rushwa. Ukienda stendi wale traffic wanapelekea wakubwa wao rushwa

4. Wizarani kwa vigogo kuna rushwa kubwa kuanzia TRA , Mabasi ya kwenda kasi mifumo inahujumiwa makusudi, wachina wanasaidiana na mawaziri kuweka mashine za kamari mpaka vijijini! na ndiyo sababu zipo mpaka leo

5. Kwenye uongozi wa juu ni mikataba ya sirisiri tu kuanzia airport ya Kia, bandari ya dar, misitu ya carbon credit….. yaani miradi mingi sana

6. Mahakamani nako kuna rushwa

Sasa tujiulize kama kila mahali pana rushwa ni mifumo gani wa maendeleo utafanikiwa?

Tatizo la rushwa halijaanza leo limekuwa utamaduni na udekezaji wa wala rushwa ulianza enzi za Mwinyi mpaka leo.

Moja ya tatizo ni kwamba viongozi wasiopenda rushwa wanahujumiwa sana na kuonekana wajinga na slow.

Ni lazima adhabu za wala rushwa ziongezeke. Bila nia za ukomeshaji wa rushwa utajiri na maendeleo yatabaki kwa wachache wasio na vipaji wala juhudi.
Ukisha kuwa na kiongozi asiye penda kuwajibisha kwenye maswala ya kiutendaji bali anapenda kuwajibisha maswala yenye mlengo wa kisiasa ujue rushwa lazima iwe nguzo kuu katika serikali yake
 
Back
Top Bottom