KERO Rushwa kati ya askari wa barabarani na daladala barabara ya Kigamboni-Mkuranga imekithiri, wahusika wamelala tunapata hasara

KERO Rushwa kati ya askari wa barabarani na daladala barabara ya Kigamboni-Mkuranga imekithiri, wahusika wamelala tunapata hasara

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kumekuwa na vituo vingi vyenye askari barabara ya Kigamboni-Mkuranga na kila kituo askari wanadai kupatiwa shilingi elfu mbili. Mpaka siku inaisha tunakua tumepoteza kiwango kikubwa tu cha pesa.

Wadau hasa TAKUKURU tunaomba mlitazame hili kwani tumewekeza pesa zetu katika sekta ya usafirishaji ili kujikwamua sasa kwa mazingira yasiyo rafiki kama haya mambo yanakuwa magumu sana.
 
Kumekuwa na vituo vingi vyenye askari barabara ya Kigamboni-Mkuranga na kila kituo askari wanadai kupatiwa shilingi elfu mbili. Mpaka siku inaisha tunakua tumepoteza kiwango kikubwa tu cha pesa.

Wadau hasa TAKUKURU tunaomba mlitazame hili kwani tumewekeza pesa zetu katika sekta ya usafirishaji ili kujikwamua sasa kwa mazingira yasiyo rafiki kama haya mambo yanakuwa magumu sana.
daladala zote ni hivyo. huko Bukoba wamewekewa kiwango kila wiki cha rushwa ya kutoa. Masauni take note of this!
 
Ukiuliza watakwambia gari haikosi kosa.
Hapo zitaanza mvua za mikeka, mara tairi kipara, mara drrva hajavaa jezi, mara reflector hakuna, mara kinyonga karuka sarakasi ilimradi shida tu
KAma una uhakika chombo chako hakina changamoto yoyote, paza sauti
 
Kumekuwa na vituo vingi vyenye askari barabara ya Kigamboni-Mkuranga na kila kituo askari wanadai kupatiwa shilingi elfu mbili. Mpaka siku inaisha tunakua tumepoteza kiwango kikubwa tu cha pesa.

Wadau hasa TAKUKURU tunaomba mlitazame hili kwani tumewekeza pesa zetu katika sekta ya usafirishaji ili kujikwamua sasa kwa mazingira yasiyo rafiki kama haya mambo yanakuwa magumu sana.
Hii ni kweli kabisa na ukiwakatalia wanakutafutia bonge la kesi na mabifu yasiyoisha
 
Kumekuwa na vituo vingi vyenye askari barabara ya Kigamboni-Mkuranga na kila kituo askari wanadai kupatiwa shilingi elfu mbili. Mpaka siku inaisha tunakua tumepoteza kiwango kikubwa tu cha pesa.

Wadau hasa TAKUKURU tunaomba mlitazame hili kwani tumewekeza pesa zetu katika sekta ya usafirishaji ili kujikwamua sasa kwa mazingira yasiyo rafiki kama haya mambo yanakuwa magumu sana.
Hii ni kweli kabisa na ukiwakatalia wanakutafutia bonge la kesi na mabifu yasiyoisha
 
Bara bara zote Tanzania ni rushwa tu kwa hao jamaa wakikusimamisha hawapo kwa ajili ya kukagua wapo kwa ajili ya kupokea rushwa tu mikoa mingine wanapatikana hadi bara bara za vumbi...
 
Bara bara zote Tanzania ni rushwa tu kwa hao jamaa wakikusimamisha hawapo kwa ajili ya kukagua wapo kwa ajili ya kupokea rushwa tu mikoa mingine wanapatikana hadi bara bara za vumbi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanacheza michezo(UPATU) ya kila siku anatoka mtu na milioni 3.
 
Back
Top Bottom