Rushwa kwa Traffic Police

Rushwa kwa Traffic Police

Wambandwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2006
Posts
2,249
Reaction score
832
Madereva WA daladala njia ya Mbagala wanalaani rushwa inayodaiwa na polisi WA usalama barabarani. Wanasema Kuna askari anaitwa Obama anawataka watoe rushwa ya zaidi ya laki kwa kosa la kuandikiwa notification ya 30,000/-!

Tafadhali jirekebisheni, lakini kumbukeni dawa yenu iko jikoni.
 
Back
Top Bottom