son of a teacher
JF-Expert Member
- Jul 30, 2017
- 541
- 1,449
MPIRA WA WANAWAKE NA RUSHWA
Hakika mpira wa wanawake una changamoto sana timu zinapewa rushwa ili iwakazie wapinzani na rushwa hizo ni za waziwazi nashangaa Tff wanafanya kazi gani Kama chombo cha kusimamia mpira.
Bila kumung'unya maneno Simba princess na Yanga princess wanaharibu mpira wa wanawake ,vilabu hivi vinacheza mchezo mchafu waziwazi wakicheza na timu pinzani haswa kipindi hichi wanatoa kiasi Cha pesa kwa wapinzani wao ili iwaachie
Na mbinu nyingine mfano mpinzani wa ubingwa anacheza dodoma Basi hawa jamaa wanafuata timu pinzani na kuahidi kila mchezaji laki mbili mbili endapo wakiwafunga au kusuluhu na hao wapinzani wao wa ubingwa
Na rushwa hizi ni za wazi kabisa
Fatma Deuji acha kuharibu soka la wanawake pamoja na viongozi wa Yanga princess rushwa zenu ni za waziwazi
TFF mpira wa wanawake kuna uozo mkubwa sana mpaka inauzi
Na hawa jamaa rushwa zao laki mbili mbili kupokea timu pinzani na kuwahudumia
Hakika mpira wa wanawake una changamoto sana timu zinapewa rushwa ili iwakazie wapinzani na rushwa hizo ni za waziwazi nashangaa Tff wanafanya kazi gani Kama chombo cha kusimamia mpira.
Bila kumung'unya maneno Simba princess na Yanga princess wanaharibu mpira wa wanawake ,vilabu hivi vinacheza mchezo mchafu waziwazi wakicheza na timu pinzani haswa kipindi hichi wanatoa kiasi Cha pesa kwa wapinzani wao ili iwaachie
Na mbinu nyingine mfano mpinzani wa ubingwa anacheza dodoma Basi hawa jamaa wanafuata timu pinzani na kuahidi kila mchezaji laki mbili mbili endapo wakiwafunga au kusuluhu na hao wapinzani wao wa ubingwa
Na rushwa hizi ni za wazi kabisa
Fatma Deuji acha kuharibu soka la wanawake pamoja na viongozi wa Yanga princess rushwa zenu ni za waziwazi
TFF mpira wa wanawake kuna uozo mkubwa sana mpaka inauzi
Na hawa jamaa rushwa zao laki mbili mbili kupokea timu pinzani na kuwahudumia