Rushwa ndio imetuvunja miguu, bado kidogo tu ituvunje na kiuno

Rushwa ndio imetuvunja miguu, bado kidogo tu ituvunje na kiuno

winnerian

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
379
Reaction score
603
Rushwa inaua sana utendaji wa ari, kujituma, ubunifu, na kujali.

Tujitahidi ila tuombe viongozi wetu waone rushwa ndio chanzo cha mkwamo wala sio vyama vya siasa wala dini wala kabila wala chochote bali ni rushwa.
 
Back
Top Bottom