winnerian JF-Expert Member Joined Jul 12, 2015 Posts 379 Reaction score 603 Aug 11, 2024 #1 Rushwa inaua sana utendaji wa ari, kujituma, ubunifu, na kujali. Tujitahidi ila tuombe viongozi wetu waone rushwa ndio chanzo cha mkwamo wala sio vyama vya siasa wala dini wala kabila wala chochote bali ni rushwa.
Rushwa inaua sana utendaji wa ari, kujituma, ubunifu, na kujali. Tujitahidi ila tuombe viongozi wetu waone rushwa ndio chanzo cha mkwamo wala sio vyama vya siasa wala dini wala kabila wala chochote bali ni rushwa.