Wana JF sasa sio siri tena, mgombea wa CCM jimbo la Arusha mjini anatoa rushwa bila kificho, wafaidika wa kwanza ni wakina mama wa soko kuu Arusha wanafuatia waendesha pikipiki na waendesha mikokoteni. Anachofanya ni kuwawekea mafuata waendesha pikipiki ya 10,000/= na kuwapa fulana ya CCM, wakina mama na waendesha mikokoteni wanapewa 10,000 na jezi. Pia wenyeviti wa vitongoji ndo wanatumika kwenda nyumba kwa nyumba wakigawa mrungula na Tshirt. Inawezekana nchi nzima ndo mtindo unaotumika tuwe macho.
wana jf sasa sio siri tena, mgombea wa ccm jimbo la arusha mjini anatoa rushwa bila kificho, wafaidika wa kwanza ni wakina mama wa soko kuu arusha wanafuatia waendesha pikipiki na waendesha mikokoteni. Anachofanya ni kuwawekea mafuata waendesha pikipiki ya 10,000/= na kuwapa fulana ya ccm, wakina mama na waendesha mikokoteni wanapewa 10,000 na jezi. Pia wenyeviti wa vitongoji ndo wanatumika kwenda nyumba kwa nyumba wakigawa mrungula na tshirt. Inawezekana nchi nzima ndo mtindo unaotumika tuwe macho.
Wana JF sasa sio siri tena, mgombea wa CCM jimbo la Arusha mjini anatoa rushwa bila kificho, wafaidika wa kwanza ni wakina mama wa soko kuu Arusha wanafuatia waendesha pikipiki na waendesha mikokoteni. Anachofanya ni kuwawekea mafuata waendesha pikipiki ya 10,000/= na kuwapa fulana ya CCM, wakina mama na waendesha mikokoteni wanapewa 10,000 na jezi. Pia wenyeviti wa vitongoji ndo wanatumika kwenda nyumba kwa nyumba wakigawa mrungula na Tshirt. Inawezekana nchi nzima ndo mtindo unaotumika tuwe macho.
(ccm) chukua chako mapema.dr. Harrison mwakyembe alishasema.
Akikupa mpunga chukua kula. Siku ya kupiga kura unampotezea.
Batilda chaguo la Lowasa yule FISADI WAZIRI MKUU aliyepigwa chini . Hili liko wazi Arusha . Kumchagua Batilda ni kufanikisha ufisadi maana hata hizo hela anzotoa kapewa na huyo boyfriend wake a.k.a HAWARA. Mama Regina Lowasa UPO? Slaa come and come very fast to redeem this collapsing beatuful but hohehahe nation.
CCM = Chaka Chua Mafuta(ccm) chukua chako mapema.