mashoke maulid
New Member
- Nov 7, 2012
- 1
- 1
kampuni ya kupakia na kupakua makontena bandarini [TICTS] ilitangaza nafasi za kazi za madereva wa vyombo vya moto kwa wenye elimu ya kidato cha nne tu. Interview ikafanyika matokeo yake wakachukua
baadhi ya wenye elimu ya darasa la saba wakati kidato cha nne waliokua na vigezo wakaachwa,[[[HIYO NI ISHARA YA RUSHWA]]]
walio chaguliwa na elimu ya darasa la saba ni wafuatao:
...1]shaban k. mduma 2]alex m.shaidi 3]emmanuel f.sesela 4]james j.kassa 5]karim r seleman 6]robert o ngonyani
.....7]samson f mkama 8]samwel mweluwe 9]stephano tuvana 10]peter siza 11]leonard yuba 12]peter mtenga
.....13]robert mwaystela ..
**kuna madereva ambao walipeleka ticts mahakamani wameenda kwa mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wakatoa rushwa na mwenyekiti akaenda kwa terminal manager.
...Ticts imempa mwenyekiti na katibu wa chama cha wafanyakazi upendeleo ndugu zao wapewe nafasi.
....TUNAOMBA TAKUKURU NA VYOMBO HUSIKA VIJE KUKAGUA VYETI VYA HAO VIJANA.
kampuni ya kupakia na kupakua makontena bandarini [TICTS] ilitangaza nafasi za kazi za madereva wa vyombo vya moto kwa wenye elimu ya kidato cha nne tu. Interview ikafanyika matokeo yake wakachukua
baadhi ya wenye elimu ya darasa la saba wakati kidato cha nne waliokua na vigezo wakaachwa,[[[HIYO NI ISHARA YA RUSHWA]]]
walio chaguliwa na elimu ya darasa la saba ni wafuatao:
...1]shaban k. mduma 2]alex m.shaidi 3]emmanuel f.sesela 4]james j.kassa 5]karim r seleman 6]robert o ngonyani
.....7]samson f mkama 8]samwel mweluwe 9]stephano tuvana 10]peter siza 11]leonard yuba 12]peter mtenga
.....13]robert mwaystela ..
**kuna madereva ambao walipeleka ticts mahakamani wameenda kwa mwenyekiti wa chama cha wafanyakazi wakatoa rushwa na mwenyekiti akaenda kwa terminal manager.
...Ticts imempa mwenyekiti na katibu wa chama cha wafanyakazi upendeleo ndugu zao wapewe nafasi.
....TUNAOMBA TAKUKURU NA VYOMBO HUSIKA VIJE KUKAGUA VYETI VYA HAO VIJANA.
Join Date : 7th November 2012
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
Hata mimi nimeshangaa sana.Mshkaji kajiunga leo maalum kwa hii makitu. Yaelekea amepigwa chini kwenye intavyuu. Sijui kajuaje hao aliowataja wameishia la saba? Manake siku hizi Form Four ni kama nasare skul tu. Miaka miwili tu watu wanalamba vyeti....