RUSSIA ECONOMY: Ripoti mpya ya World Bank yaidhinisha Russia kuingia kundi la mataifa yenye kipato kikubwa duniani licha ya kuwa vitani na vikwazo

RUSSIA ECONOMY: Ripoti mpya ya World Bank yaidhinisha Russia kuingia kundi la mataifa yenye kipato kikubwa duniani licha ya kuwa vitani na vikwazo

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548

20240703_111548.jpg

Benki ya Dunia imechapisha ripoti ambayo imeidhinisha Urusi kama nchi yenye kipato kikubwa.


Kigezo cha nchi iwe katika kundi la mataifa yenye kipato kikubwa duniani ni pale wastani wa pato la mtu mmoja katika taifa husika liwe kuanzia USD 14,005

Kulingana na ripoti ya WB, mwaka 2023 wastani wa pato la mtu mmoja Russia lilikuwa ni USD 14,250

Kiuchumi huo wastani huitwa Gross National Income Per Capita (GNI Per Capita)


GNI Per Capita= gross national income divided by midyear population


Hatua zilizopigwa na Russia kiuchumi mwaka 2023
  • Uchumi wa Russia ulikuwa kwa 3.6%
  • Nominal GDP ilikua kwa 10.9%
  • Gross National Income kwa 11.2%
  • Real incomes ilikua kwa 4.5%
  • Nominal wages ilikua kwa 13%
  • GDP PPP ya Russia imepanda kufikia USD 5,733 na kuwa taifa la tano duniani nyuma ya kinara China, Marekani, India na Japan

Je, vikwazo vya kiuchumi ilivyowekewa Russia vimefeli?


CREDIT:World Bank country classifications by income level for 2024-2025
 
View attachment 3032363
The World Bank has published a report in which it designated Russia as a high-income country.

Kigezo cha nchi iwe katika kundi la mataifa yenye kipato kikubwa duniani ni pale wastani wa pato la mtu mmoja katika taifa husika liwe kuanzia USD 14,005

Kulingana na ripoti ya WB mwaka 2023 wastani wa pato la mtu mmoja Russia lilikuwa ni USD 14,250

Kiuchumi huo wastani huitwa Gross National Income Per Capita (GNI Per Capita)

GNI Per Capita= gross national income divided by midyear population

Hatua zilizopigwa na Russia kiuchumi mwaka 2023
  • Uchumi wa Russia ulikuwa kwa 3.6%
  • Nominal GDP ilikua kwa 10.9%
  • Gross National Income kwa 11.2%
  • Real incomes ilikua kwa 4.5%
  • Nominal wages ilikua kwa 13%
  • GDP PPP ya Russia imepanda kufikia USD 5733 na kuwa taifa la tano duniani nyuma ya kinara China, Marekani, India na Japan

Je, vikwazo vya kiuchumi ilivyowekewa Russia vimefeli?
Wazungu ni wanafiki wanafanya biashara na russia kimya kimya.
 
Licha ya vikwazo, uchumi wa Urusi unaendelea kuwa imara kutokana na sababu kadhaa. Urusi ni mmoja wa wazalishaji wakubwa wa mafuta na gesi asilia duniani. Pia, ina uhusiano mzuri wa kiuchumi na nchi ambazo hazishiriki katika vikwazo, kama vile China na India. Vikwazo vimeisukuma Urusi kujitegemea zaidi katika sekta fulani, kupunguza utegemezi wa bidhaa za nje. Aidha, kushuka kwa thamani ya ruble kumefanya bidhaa za Urusi kuwa na ushindani zaidi katika soko la kimataifa.
 
USA, western Europe, Canada, Japan, Australia wako above 50000 usd. Wewe unazungumza 14000 usd GNP. Hiyo Russia hupo kitambo Sana. Zaidi ya miaka 20. Kwa ukubwa, resources, technology ya Russia ni aibu kuzungumza juu ya GNP ya 14000. Russia ilitakiwa iwe zaidi ya GNP ya 100000usd
 
USA, western Europe, Canada, Japan, Australia wako above 50000 usd. Wewe unazungumza 14000 usd GNP. Hiyo Russia hupo kitambo Sana. Zaidi ya miaka 20. Kwa ukubwa, resources, technology ya Russia ni aibu kuzungumza juu ya GNP ya 14000. Russia ilitakiwa iwe zaidi ya GNP ya 100000usd
Ingefikia huko kama nao wangeamua pia kuiba rasilimali za nchi masikini
 
Kwenye hii SMO russia inaumia kwa raia wake tu kufa ila kwenye angle ya uchumi russia anapiga pesa ndefu sana sana sana
Hakuna taifa lolote duniani nasema tena lolote duniani lingeweza kupigana kama lingekua na vikwazo kama russia na anaepigana nae akapat sapoti kama anayoipata ukraine
Ili waweze kufikia malengo yao dhidi ya russia basi waombe india na uchina wajiunge nao la sivyo hii mbungi itaenda hata miaka buku russia hashindwi ng'ooooo labda washindwe wao
Kuna watu watakuja kukwambia rudsia taif maskini😀
 
Taifa LA urusi Lina kila aina ya rasilimali. Wana rasilimali zenye thamani ya 85 trillion usd
Urusi haiishi Leo,ipo tu,rasilimali zitatumika tu,isitoshe urusi iliyumba 1980-2000s,na zaidi ikatengwa na hao wa upinde unaoilinganisha nao,wa upinde wamefanya uchumi wa dunia ujizungushe kwenye muhimili wao,anachofanya urusi ni kuvuruga hiyo order ije mpya,Kisha utaona hao wezi wa rasilimali watavyokua Kama Kazakhstan
 
USA, western Europe, Canada, Japan, Australia wako above 50000 usd. Wewe unazungumza 14000 usd GNP. Hiyo Russia hupo kitambo Sana. Zaidi ya miaka 20. Kwa ukubwa, resources, technology ya Russia ni aibu kuzungumza juu ya GNP ya 14000. Russia ilitakiwa iwe zaidi ya GNP ya 100000usd
Unapolinganisha uchumi wa nchi lazima uzingatie vigezo vyote

Vipi kuhusu GDP per capita in PPP ukilinganisha Russia na nchi za Western Europe?
 
uchumi wa Urusi unaendelea kuwa imara kutokana na sababu kadhaa. Urusi ni mmoja wa wazalishaji wakubwa wa mafuta na gesi asilia duniani. Pia, ina uhusiano mzuri wa kiuchumi na nchi ambazo hazishiriki katika vikwazo, kama vile China na India
Tunasubiria hii kitu ianze rasmi International North-South Transport Corridor (INSTC)

Russia–Iran–India route

20240703_195340.jpg
 

View attachment 3032367
Benki ya Dunia imechapisha ripoti ambayo imeidhinisha Urusi kama nchi yenye kipato kikubwa.


Kigezo cha nchi iwe katika kundi la mataifa yenye kipato kikubwa duniani ni pale wastani wa pato la mtu mmoja katika taifa husika liwe kuanzia USD 14,005

Kulingana na ripoti ya WB mwaka 2023 wastani wa pato la mtu mmoja Russia lilikuwa ni USD 14,250

Kiuchumi huo wastani huitwa Gross National Income Per Capita (GNI Per Capita)


GNI Per Capita= gross national income divided by midyear population


Hatua zilizopigwa na Russia kiuchumi mwaka 2023
  • Uchumi wa Russia ulikuwa kwa 3.6%
  • Nominal GDP ilikua kwa 10.9%
  • Gross National Income kwa 11.2%
  • Real incomes ilikua kwa 4.5%
  • Nominal wages ilikua kwa 13%
  • GDP PPP ya Russia imepanda kufikia USD 5,733 na kuwa taifa la tano duniani nyuma ya kinara China, Marekani, India na Japan

Je, vikwazo vya kiuchumi ilivyowekewa Russia vimefeli?


CREDIT:World Bank country classifications by income level for 2024-2025
GDP PPP kwa ripoti ya WB Russia ni ya 4, ......
 
USA, western Europe, Canada, Japan, Australia wako above 50000 usd. Wewe unazungumza 14000 usd GNP. Hiyo Russia hupo kitambo Sana. Zaidi ya miaka 20. Kwa ukubwa, resources, technology ya Russia ni aibu kuzungumza juu ya GNP ya 14000. Russia ilitakiwa iwe zaidi ya GNP ya 100000usd
umefuatilia lini hizi taarifa mkuu?
mbona Russia kaipita japan, Germany, kitambo tu?
 

View attachment 3032367
Benki ya Dunia imechapisha ripoti ambayo imeidhinisha Urusi kama nchi yenye kipato kikubwa.


Kigezo cha nchi iwe katika kundi la mataifa yenye kipato kikubwa duniani ni pale wastani wa pato la mtu mmoja katika taifa husika liwe kuanzia USD 14,005

Kulingana na ripoti ya WB mwaka 2023 wastani wa pato la mtu mmoja Russia lilikuwa ni USD 14,250

Kiuchumi huo wastani huitwa Gross National Income Per Capita (GNI Per Capita)


GNI Per Capita= gross national income divided by midyear population


Hatua zilizopigwa na Russia kiuchumi mwaka 2023
  • Uchumi wa Russia ulikuwa kwa 3.6%
  • Nominal GDP ilikua kwa 10.9%
  • Gross National Income kwa 11.2%
  • Real incomes ilikua kwa 4.5%
  • Nominal wages ilikua kwa 13%
  • GDP PPP ya Russia imepanda kufikia USD 5,733 na kuwa taifa la tano duniani nyuma ya kinara China, Marekani, India na Japan

Je, vikwazo vya kiuchumi ilivyowekewa Russia vimefeli?


CREDIT:World Bank country classifications by income level for 2024-2025
Mkuu unataka kujenga hoja gani ?

Kuwa vita imesaidia Urusi ku-busti uchumi wake?
 
Back
Top Bottom