Russia iwe funzo kwa ulimwengu wa sasa, Mabunge yawe Huru

Russia iwe funzo kwa ulimwengu wa sasa, Mabunge yawe Huru

Omary - Msamalia

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2020
Posts
2,079
Reaction score
4,521
Kwa mtu yoyote asiyehusika moja kwa moja na hii vita lazima atakuwa ana upande wake wa kushabikia. Ila jambo moja la wazi na pasi na shaka hii vita imekwamisha ustawi wa Uchumi wa Dunia nzima na kuhatarisha usalama wa kila Binadamu.

Hadi sasa ukiangalia taarifa za Urusi kila siku wanatoa taarifa wameshambulia mifumo ya makombora ya HIMARS ambayo hayafiki idadi ya 60, hili ni wazi Serikali inaweza kufanya lolote na hakuna wa kuhoji.

Tanzania tusipolipa Bunge mamlaka kamili ya kuhoji na kuwajibisha Serikali kuu, taifa letu litakuja kuingia kwenye misuguano mibaya sana.

Tupunguze nguvu za Rais
 
Zipo 14
Ila habari zao ni kila siku wanazitungua
Tanzania kama kweli tunataka maendeleo inabidi tubadiri katiba na kuwa nchi ya wananchi
 
Kabla ya kuwazia hata huko urusi somo tulishapata mbona. Mwaka 2021 tu hapo kuna mtu alikuwa anaweza kufanya lolote na kwa yeyote bila kuulizwa.

Imagine watu waliitwa wasaliti wakapigwa na risasi hakuna aliyehoji hata.
 
Kwa mtu yoyote asiyehusika moja kwa moja na hii vita lazima atakuwa ana upande wake wa kushabikia. Ila jambo moja la wazi na pasi na shaka hii vita imekwamisha ustawi wa Uchumi wa Dunia nzima na kuhatarisha usalama wa kila Binadamu.

Hadi sasa ukiangalia taarifa za Urusi kila siku wanatoa taarifa wameshambulia mifumo ya makombora ya HIMARS ambayo hayafiki idadi ya 60, hili ni wazi Serikali inaweza kufanya lolote na hakuna wa kuhoji.

Tanzania tusipolipa Bunge mamlaka kamili ya kuhoji na kuwajibisha Serikali kuu, taifa letu litakuja kuingia kwenye misuguano mibaya sana.

Tupunguze nguvu za Rais

Bila machafuko au mapinduzi usitegemee mabadiliko ya hii mifumo.
 
Kwa mtu yoyote asiyehusika moja kwa moja na hii vita lazima atakuwa ana upande wake wa kushabikia. Ila jambo moja la wazi na pasi na shaka hii vita imekwamisha ustawi wa Uchumi wa Dunia nzima na kuhatarisha usalama wa kila Binadamu.

Hadi sasa ukiangalia taarifa za Urusi kila siku wanatoa taarifa wameshambulia mifumo ya makombora ya HIMARS ambayo hayafiki idadi ya 60, hili ni wazi Serikali inaweza kufanya lolote na hakuna wa kuhoji.

Tanzania tusipolipa Bunge mamlaka kamili ya kuhoji na kuwajibisha Serikali kuu, taifa letu litakuja kuingia kwenye misuguano mibaya sana.

Tupunguze nguvu za Rais
Unataka kuwapangia Russia mambo yao ya ndani,pumbavu zako
 
Tupunguze nguvu za Rais
Niliwahi kuleta mada hapa jukwaani kuwa katiba yetu imempa rais mamlaka makubwa sana kiasi kwamba anaweza kuamua kuua kabila fulani, kuuza kipande cha nchi ama mkoa, kuteua Baraza la mawaziri lililosheheni ndugu zake tu, n.k

Kwa dunia ya Sasa aiwepo mtu ktk nchi akawa juu ya sheria.

#NdugaiKaonewa Sana
 
Kwa mtu yoyote asiyehusika moja kwa moja na hii vita lazima atakuwa ana upande wake wa kushabikia. Ila jambo moja la wazi na pasi na shaka hii vita imekwamisha ustawi wa Uchumi wa Dunia nzima na kuhatarisha usalama wa kila Binadamu.

Hadi sasa ukiangalia taarifa za Urusi kila siku wanatoa taarifa wameshambulia mifumo ya makombora ya HIMARS ambayo hayafiki idadi ya 60, hili ni wazi Serikali inaweza kufanya lolote na hakuna wa kuhoji.

Tanzania tusipolipa Bunge mamlaka kamili ya kuhoji na kuwajibisha Serikali kuu, taifa letu litakuja kuingia kwenye misuguano mibaya sana.

Tupunguze nguvu za Rais
Tozo zimekuchanganya wewe.
 
Acha watu waonyeshane ubabe
Kama tulishidwa kuliona hili hapa kwetu hivyo hivyo na huko duniani wanashindwa kuona athari zake ni Bora tunyooshane Kwa vitendo akili zitaturudia sote🤸🤸🤸🤸
 
Back
Top Bottom