Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

ko
kosi langu ndo ili baada italy kukoswkana
 
Habari Zenu Wapenzi Wa soka Wote.
Nawakaribisha Katika Thread Hii Maalumu Kabisa Kwaajili Ya Kombe La Dunia Mwaka Huu 2018.
kwakifupi Humu Tutabadilishana Mawili Matatu Yanayohusu KOMBE LA DUNIA
(FIFA WORLD CUP]
Weka ratiba hapa team profile vikosi facts za world cup 2018 uzi unoge uwekwe hata sticky ila hapa mwepesi sana utapotea hata kabla ya worldcup
 
Weka ratiba hapa team profile vikosi facts za world cup 2018 uzi unoge uwekwe hata sticky ila hapa mwepesi sana utapotea hata kabla ya worldcup
Nimekwisha Fanya Hivyo Mkuu Nenda Thread 01 Nimeelezea Team Zilizofuzu Kucheza Kombe La Dunia 2018.
Baadae Nitaelezea Team Zilivyopangwa Kwa Magroup
 
HIZI NDIZO NCHI ZILIZO FUZU KUCHEZA KOMBE LA DUNIA 2018
  • Ujerumani
  • Argentina
  • Iceland
  • Ubelgiji
  • Colombia
  • Costarica
  • England
  • Misri
  • Iran
  • Japan
  • Mexico
  • Nigeria
  • Panama
  • Poland
  • Saudi Arabia
  • Korea Kusini *Uhispania Na Uruguay
Good job..... sema upandishe kwenye thread yako....yaani kila anayefungua uzi akute facts kama hizi huko juu kabisa
 
HIZI NDIZO NCHI ZILIZO FUZU KUCHEZA KOMBE LA DUNIA 2018
  • Ujerumani
  • Argentina
  • Iceland
  • Ubelgiji
  • Colombia
  • Costarica
  • England
  • Misri
  • Iran
  • Japan
  • Mexico
  • Nigeria
  • Panama
  • Poland
  • Saudi Arabia
  • Korea Kusini *Uhispania Na Uruguay
Mchakato wa kufuzu bado unaendelea? Maana hapa ni Nchi chache sana(18) kati ya 32 ambazo zinatakiwa kushiriki.
 
Official Sponsors and Partners of FIFA World 2018

Let’s check out the full list of Sponsors and Partners for Russia World Cup 2018 below.

Budweiser
Hisense
Mcdonalds
Vivo
Along with the above list, there are few other sponsors like: –

Adidas
Coca-Cola
Wanda Group
Gazprom
Hyundai
Kia Motors
Qatar Airways
VISA
 
Haya haya balaa limeanza. Kikosi cha mabingwa wapya wa dunia 2018 hiki hapa

Goalkeepers:
Alphonse Areola (PSG), Hugo Lloris (Tottenham), Steve Mandanda (Marseille);

Defenders:
Lucas Hernandez (Atletico Madrid), Presnel Kimpembe (PSG), Benjamin Mendy (Manchester City), Benjamin Pavard (Stuttgart), Adil Rami (Marseille), Djibril Sidibe (Monaco), Samuel Umtiti (Barcelona), Raphael Varane (Real Madrid);

Midfielders:
N'Golo Kante (Chelsea), Blaise Matuidi (Juventus), Steven N'Zonzi (Sevilla) Paul Pogba (Manchester United), Corentin Tolisso (Bayern Munich)

Forwards:
Ousmane Dembele (Barcelona), Nabil Fekir (Lyon), Olivier Giroud (Chelsea), Antoine Griezmann (Atletico Madrid), Thomas Lemar (Monaco), Kylian Mbappe (PSG), Florian Thauvin (Marseille).

Reserves:
Wissam Ben Yedder (Sevilla), Kingsley Coman (Bayern Munich) Benoit Costil (Bordeaux), Mathieu Debuchy (Saint-Etienne), Lucas Digne (Barcelona), Alexandre Lacazette (Arsenal), Anthony Martial (Manchester United), Adrien Rabiot (PSG), Mamadou Sakho (Crystal Palace), Moussa Sissoko (Tottenham), Kurt Zouma (Stoke City - on loan from Chelsea)
 
Daaa.., yule Bwana Mdogo Dimitri Payet hajaitwa hata Sub au Jana aliumia sana?
 
load to russia LACAZETTE out GIROUD in safi sana didier deschamps toa masharobaro weka watu wa kazi,,,,,,,,,,mimi hili FRANCE ndio chama langu chama la wana
 
load to russia LACAZETTE out GIROUD in safi sana didier deschamps toa masharobaro weka watu wa kazi,,,,,,,,,,mimi hili FRANCE ndio chama langu chama la wana
Gud sana mkuu
Notre temps est maintenant
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…