Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Nimemaliza rasmi kuangalia mashindano ya WC kwa mwaka 2018,niwatakie siku njema, sasa kilichobaki nikutazama senema tu
 
Historia inajirudia, ukiacha mwaka 1958 kama sikosei, Brazil haijachukua kombe kutoka ardhi ya Ulaya

2014 watu walisema Neymar hakuwepo, well, impact yake haikukidhi matarajio ya wapenzi wake. Ninaweza kusema Ronaldo alikuwa effective kama mchezaji mtegemewa kuliko Mesi na Neymar.
 
Matangazo ya redio za bongo bhana

Eti rudi nyumbani kumenoga

Kwa hiyo brazil wakilisikia wanajisikiaje??
 
Achukue yoyote yule kaso England. Timu zote chali, mwaka huu ni hatari
 
Mahela tena jamani si ulikataa kesho England nao sijui wataniangusha ndio team yangu iliyobakia acha nilale
Shunie , lala ukitegemea miujiza. Kama hawatabadilika, kwa uchezaji ule na Colombia naona ticket zao zikiwa na OK! Wanatakiwa kuwa na energy na plan. Wasusie uchovu , huenda!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…