Ally maganga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,433
- 913
Mimi si shabiki wa Brazil lakini laiti Brazil wangelipanga kikosi chao vizuri Belgium angelitoka. Kipindi cha kwanza watatu ndiyo waliisumbua Brazil, De broune, Lukaku na Hazard. Kati pale Brazil walikosa kabisa kiungo De broune akawa anapita tu na wakampa jina kiuzembe jamaa akawànyoa. Angalia second half Brazil ndipo wakaamka alipoingia Ferminho, Augasto na Costa. Costa kawa wings tena anayezunguka uwanja na mwenye control ya mpira hali iliyomfanya Courtnho alirudi kuwa namba 8, Neymar 10 na Costa 7. Mpira ulibadilika mbona, Kocha wao angelikuwa na utambuzi ule basi tungeliyaongelea mengine.Tulipofika hakuna mpira wa ujanja ujanja inatakiwa mtu akaze kweli. Ule mpera mpera wa hazard akiupata huku fella anapoza maandalizi pale kati kwa hakika Belgium walistahili.
Wooooooooozeeerrr[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] eeenh sema kweli team yangu iliyobaki inachukua ubingwa nimeshapoa kaka angu kwa kufungwaNdio ninashangaa.... kwanza pole kwa timu yako namba 2 kutolewa
Ile timu unayoishabikia leo baadae, kama wewe ni mweka hazina na vicoba, chukua hela yote kabet (unakula hela kirahisi kabisa)
Usimwambie mtu: hiyo timu ndio bingwa mpya wa dunia (kumbuka hii post)
leo sina team nnayosupport ila ntafurahi England na Russia wakitolewa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hili nalo nenoNaliona kombe linabaki rashia...
Dah Pale Belgium kuna vijana wawili Hazard na De Bruyne Hawa vijana I hatari sana.Tulipofika hakuna mpira wa ujanja ujanja inatakiwa mtu akaze kweli. Ule mpera mpera wa hazard akiupata huku fella anapoza maandalizi pale kati kwa hakika Belgium walistahili.
Mkuu Timu za Ulaya Kwa kukaba ni shida,mpira ukiwa upande wa Brazil unakuta beki ya Belgium ni kama Misitu pa kupita hamna.Neymar anafosi kupita kwenye Msitu ananyang'anywa kirahisiKiukweli Neymar uchezaji wake hauna madhara angalia hazard akishika mpira ni full pressure kwa Brazil na hapokonywi mpira kizembe. Ukija kwa neymar huyu kinyume chake kabisa mpira anapokonywa kiulaini kabisa yaani hana madhara hata chembe ila kipaji anacho kuliko hata hazard mwenyewe. Tatizo hana consciousness ya kusoma wakati kwenye match na timu inahitaji nini.
Yaah ile lukaku katoa chumba na sebule na de bruyne akaitendea haki marcelo alikuwa anatupa kimguu kama kuku alie chinjwa sijui ukabaji gani ule.Dah Pale Belgium kuna vijana wawili Hazard na De Bruyne Hawa vijana I hatari sana.
Yaah! zamani timu zilishinda aidha kwa kuwa na wachezaji wawili tu mahiri lakini usidhani kuwa brazil and company wameshuka viwango hapana ila timu za chini viwango vimepanda na kuwafikia kinacho amua ushindi ni mbinu za ziada na makosa flan.Mimi si shabiki wa Brazil lakini laiti Brazil wangelipanga kikosi chao vizuri Belgium angelitoka. Kipindi cha kwanza watatu ndiyo waliisumbua Brazil, De broune, Lukaku na Hazard. Kati pale Brazil walikosa kabisa kiungo De broune akawa anapita tu na wakampa jina kiuzembe jamaa akawànyoa. Angalia second half Brazil ndipo wakaamka alipoingia Ferminho, Augasto na Costa. Costa kawa wings tena anayezunguka uwanja na mwenye control ya mpira hali iliyomfanya Courtnho alirudi kuwa namba 8, Neymar 10 na Costa 7. Mpira ulibadilika mbona, Kocha wao angelikuwa na utambuzi ule basi tungeliyaongelea mengine.
Lakini upo sahihi, Mpira wa sasa ni wa kukaza sana history hazisaidii kitu. Nina uhakika the next world cup south Americans teams watakuwa completely different.
Willian mechi na Mexico alicheza vizuri sanaWamepoteza nafasi nyingi sana brazil roho zitakuwa zinawauma sana....yule paulinho hakutakiwa kuanza amekosa nyingi sana....willian mzigo tu hila costa mwanaume kweli
Neymar kinachomgharimu anakosa maarifa ya mpira hajui afanye nini wakati husika. Amerika ya kusini bado vipaji wanavyo, walilewa sifa tu kwa sababu ndiyo waliyokuwa wanatawala mpira wa miguu kwenye mashindano ya kimataifa. Kombe LA dunia hili litawaamsha kwamba wazungu wanafanya ukweli. Nina imani kombe la dunia litakalofuata tutashuhudia tusiyoyatarajia zaidi.Mkuu Timu za Ulaya Kwa kukaba ni shida,mpira ukiwa upande wa Brazil unakuta beki ya Belgium ni kama Misitu pa kupita hamna.Neymar anafosi kupita kwenye Msitu ananyang'anywa kirahisi
England hatokiii