BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
leo sina team nnayosupport ila ntafurahi England na Russia wakitolewa.
Wee acha tu mkuu, ni majanga
Natabiri mkeka wako kuchanikaEngland leo inatolewa
Hahaha!! Usiwe umeendeleza chuki kwa Brazil kisa Neymar wa Barcelona.Hakuna cha samba wala umaza wala udada..kazi kazi tu na ndiyo ubelgiji alivyowafanya hawa nguruwe 😀😀😀😀
Kabisa,wachaa tutazame waliosalia.Wee acha tu mkuu, ni majanga
Mkuu kuhusu Neymar jiba ni rahisi tu Media zinamkuza sana kuliko uwezo wake uwanjani huu mpira anaocheza Neymar Leo Ronaldo alicheza Manchester United 2007 yeye anaocheza Leo akiwa na miaka 26Hahaha!! Usiwe umeendeleza chuki kwa Brazil kisa Neymar wa Barcelona.
Belgium walitumia nafasi vizuri,Brazil walipata nasafi nyingi.
Neymar world cup hii kwa upande wangu kachemka sana alikuwa anajilegeza sana kama mtu asiye pats mlo kamili wakati mwingine nikawaza au majeruhi yaliyompata mwezi February,.
Aisee sasa naona Cr7 na Mess bado wananafasi hata ya miaka mitatu kutawala soka.
Wiliian sijui anamatatizo ya familia au kisaikolojia toka world cup imeanza skuwa na imani naye si yule wa chelsea.
World cup hii inasurprise za kutoshaa
Ngoja tusubirie mkuuJapo sio mshabiki wa england ila watafika mbali...
Ni kweli mkuu Neymar mpaka nahisi anakua overated kwasababu za kibiashara lakini hjafikia level za kina CR7 na MessiKabisa,wachaa tutazame waliosalia.
Bwana mdogo Neymar itabidi aingiee gym naona hana nguvu za mwili na kujilegeza kizembe sana.
Neymar hii world cup kaniangusha sana,uchezaji wake abadilike katika utoaji pasi wa haraka na aache kujilegeza ...kufikia level za Cr7 au messi bado anashughuli nzito.
Kipindi cha pili walau tuliiona samba Brazil.
sisi Three Lions tupo underrated sana since michuano inaanza lakini taratibu mpaka fainali hatuna mbwembwe kama ilivyozoeleka
England 3-0 Sweden
uje hapa saa 1.00 leo usiku
Umeeleza vyema sana,Ni kweli mkuu Neymar mpaka nahisi anakua overated kwasababu za kibiashara lakini hjafikia level za kina CR7 na Messi
Pia ili Brazil ifanye vizuri hasa katika umaliziaji lazima wawe na namba tisa wa asili kama walivyokua kina Romario na Ronaldo de Lima, hapo ndio falsafa ya Samba itafanya kazi sawasawa vinginevyo watakua wanafanya vizuri katika mechi ambazo hazina pressure lakini kwenye serious encounters na serious contenders siku zote watakua wanachemsha
Ngoja tusubirie mkuu
Since the beginning England wanapata easy games tu ndio maana wapo mpaka leo.
Hahaha!! Usiwe umeendeleza chuki kwa Brazil kisa Neymar wa Barcelona.
Belgium walitumia nafasi vizuri,Brazil walipata nasafi nyingi.
Neymar world cup hii kwa upande wangu kachemka sana alikuwa anajilegeza sana kama mtu asiye pata mlo kamili wakati mwingine nikawaza au majeruhi yaliyompata mwezi February,.
Aisee sasa naona Cr7 na Mess bado wananafasi hata ya miaka mitatu kutawala soka.
Wiliian sijui anamatatizo ya familia au kisaikolojia toka world cup imeanza skuwa na imani naye si yule wa chelsea.
World cup hii inasurprise za kutoshaa
England leo inatolewa
Hakuna mwenye imani na timu ya England zaidi ya Waingereza wenyeweHaitolewi
Ndio ndio umezungumza vyema,Mkuu kuhusu Neymar jiba ni rahisi tu Media zinamkuza sana kuliko uwezo wake uwanjani huu mpira anaocheza Neymar Leo Ronaldo alicheza Manchester United 2007 yeye anaocheza Leo akiwa na miaka 26
Kwa kweli hili la kukaa na mpira muda mwingi alifanyie kazi,Hahaaa hapana kiongozi sina chukinae unless anaikosti timu,, muda mwingi anakaa na mpira alafu mchoyo wa pasi.