Braza una maana gani unaposema easy games??Since the beginning England wanapata easy games tu ndio maana wapo mpaka leo.
Kwema mkuuWandugu kwema humu, naona muda umewadia sasa.
Mmh mechi ya leo hii ni 50_50 hii ngoja tuone dk 15 za kwanza zitatupa mwanga.Team England
Ahsante sana mkuu.Kwema mkuu
Karibu sana
all the best
Kwa kweli hili la kukaa na mpira muda mwingi alifanyie kazi,
Lakini Mimi naamini huwa anakaa na mpira kwa muda ili afanye mbwembwe zake na madoido.
Inabidi aweanatazama si kila mechi ni ya kufanya madoido mechi zingine inabidi kutupilia mbali utundu wa kuchezea mpira.
Hata england sioni wanachocheza.Hawa Sweden wameanza kupak bus mapema hivi dah!
Wamepoa sana yaniHata england sioni wanachocheza.