Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Wachezaji walionifurahisha kipind cha kwanza
Hazard,kante,pogba,greizman,pavard,mbape , varane na debryune
Niache ukoo staki ugomvi mm,..si unajifanya umeamia france [emoji56]
Kabisa mkuu nilimsahau huyu kaleta utafauti ila hazard classic tuache masihara vile hana bahat ya kufunga tu ila mpira mguuni anaoOngeza na Matuidi hapo
makipa pia wamejitahidi mkuu.Wachezaji walionifurahisha kipind cha kwanza
Hazard,kante,pogba,greizman,pavard,mbape , varane na debryune
[emoji23] ntakuchokonoa hadi uchukiee,,Niache ukoo staki ugomvi mm,..
Tubetiane bathiiniko kinyume na wewe,
Kweli mkuu sema tunawasahau sanamakipa pia wamejitahidi mkuu.
Pyeeeeee thichukii mm ng'odo[emoji14][emoji14][emoji23] ntakuchokonoa hadi uchukiee,,
fyuuuuu
ππππππGermany na Argentina na zote zimetoka mapema
Hazard ni nomaKabisa mkuu nilimsahau huyu kaleta utafauti ila hazard classic tuache masihara vile hana bahat ya kufunga tu ila mpira mguuni anao
kumbe yule ndio mfalme niliona anaonyeshwa wakati wa wimbo wao wa taifa.Mfalme wa Ubelgiji Philippe na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron wamefika kuwapa matumaini wachezaji wanaowakilisha mataifa yao.
Kumbe asishabikie timu ninayoishabikia aiseeyaan wewe yoyote utakayo shabikia itafungwa [emoji23]
naweka elfu 10Tubetiane bathii
Kula tano [emoji109]Mbape ananifurahisha mno
[emoji23] [emoji56]Pyeeeeee thichukii mm ng'odo[emoji14][emoji14]
Ananifurahisha sana anapokuwa na mpira mguuni sio rahisi kumporaHazard ni noma
Aaaaaahhh weka dau buanaanaweka elfu 10