Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Ubeligiji ndio timu ya kwanza kuiona ikimtoa brazil halafu ikashindwa kufika fainali.

Fara sana Hazard na wenzake.
 
Belgium haina hadhi ya kubeba world cup

Timu zote zilizofika nusu hazina hadhi ya kuwa hapo zilizpo kidogo labda france.

Kiujumla sijawahi kuona michuano ya world cup mibovu isiyokuwa na mvuto kama hii ya mwaka hii.

The most boring world cup tournament i have ever watched i.e lots of bus packers,mediocre players,dumb tacts,VAR(very annoying refereeing).
 
Team gani nyingine yenye matokeo kama hizo team imetolewa mapema ?
 
Ulitaka zifike team zipi ?
 
England anapigwa kipigo cha mbwa koko leo, Toka michuano imeanza England amekutana na mbabe mmoja tuu(Belgium), leo anacheza game la pili hizo game nyingine zilikua lainiiiiiiiiiiiiiii hatuwezi kuzihesabia Croatia amepita njia ngumu sana mpaka kufika alipo sasa .........................
 
Atakaeshinda yoyote sawa tu ila kwa timu ambazo france amezitoa tangu mtoano jamaa anastahili kuwa bingwa ila mpira wakati mwingine huwa hauna adabu.
 
Kama hawajampa tunzo itakua ni uendelezo wa uhuni tu wa wazungu.
 
WADAU

Kuna jamaa nimebet nae Uingereza akishinda nampa Elf 20, Mimi Nimemwambia Croatia akishnda Sitak hela(ni mpare najua hatanipa) anitumie tu papuchu ya demu wake,amekubali ila bahat mbaya humu watanipa ban nilitaka niiweke avatar mana nina uhakika papuchu n yangu leo.
 
Kuna jamaa nimebet nae Uingereza akishinda nampa Elf 20, Mimi Nimemwambia Croatia akishnda Sitak hela(ni mpare najua hatanipa) anitumie tu papuchu ya demu wake,amekubali ila bahat mbaya humu watanipa ban nilitaka niiweke avatar mana nina uhakika papuchu n yangu leo.
 
aisee,serious?
 
Malipo ya Cristiano Ronaldo katika mkataba wake na Juventus: TZS bilioni 324 kwa miaka 4. TZS bilioni 81 kwa mwaka. TZS bilioni 6.75 kwa mwezi. TZS bilioni 1.6875 kwa wiki. TZS milioni 241 kwa siku. TZS milioni 10 kwa saa. TZS 167,000 kwa dakika. TZS 2,800 kwa sekunde.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…