Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Asante bae 1...tumechukua nafasi ya tatu lakin sio mbaya sana,Namshangilia Eden kwa ajili yako [emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaume wa Dar tawi la ulaya wamepigwa 2-0,pole yao!![emoji53][emoji53][emoji53]
Its coming home ma footEngland bravooooo. Mmeonyesha Epl nayo ligi 4th place si haba dola kibao kibindoni
[HASHTAG]#teamcroatia[/HASHTAG] tutakua hapa tukisubiri kikombe chetu.It’s over
Kama nilivyosema tokea mwanzo England ni mshindi wa 4 na ndivyo ilivyokuwa.
Team Croatia kesho tunabeba ndoo [emoji1434]
Cheeeeeeeeersss.
Duuh Croatia tena [emoji17] [emoji17] [emoji17] ngoja nibaki na France yangu, Pogba usiniangushe mwanangu.It’s over
Kama nilivyosema tokea mwanzo England ni mshindi wa 4 na ndivyo ilivyokuwa.
Team Croatia kesho tunabeba ndoo [emoji1434]
Cheeeeeeeeersss.
Its coming home ma foot
[HASHTAG]#teamcroatia[/HASHTAG] tutakua hapa tukisubiri kikombe chetu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hongereni kwa 4th place.
Nimekua namba one tena. Mshindi wa tatu sio mbaya piaAsante bae 1...tumechukua nafasi ya tatu lakin sio mbaya sana,
Sijachek boli naombeni matokeo please..
labda mbebe ndoo ya maji ya kuogaIt’s over
Kama nilivyosema tokea mwanzo England ni mshindi wa 4 na ndivyo ilivyokuwa.
Team Croatia kesho tunabeba ndoo [emoji1434]
Cheeeeeeeeersss.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]England 4 vs Belgium 0 [emoji125][emoji125]
Haha..jamaniEngland 4 vs Belgium 0 [emoji125][emoji125]
Neenda ukabeti kama una wakika na ufaransa....utajilika hiyo ni fursa mkuuHakuna ubishi kesho crotia anapigwa kiurahisi sana na france kante,pogba,mbape ,matuidi na greizman hapa mziki ndipo ulipo ukiacha bek mbili na tatu ambao wapo makini wakati wao crotia wakitegemea juhudi binafsi za luka modric tu.
Tumeona mechi ya nusu fainali ambapo sterling aliwakimbiza sana wakina lovren ni ile hali ya kukosa udhoefu ndicho kilichowagharimu sina shaka kesho na spidi ya mbape ambaye atakuwa mwiba mkali sana kwa wale wazee wa crotia
France tuanze kushangilia ubingwa wa dunia mapema.
Huwezi kutajirika kwa kubet mkuu jitume kufanya kazi kamali si chanzo sahihi cha utajirNeenda ukabeti kama una wakika na ufaransa....utajilika hiyo ni fursa mkuu