Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Mpira hauchezwi mdomoni ndugu yangu, kama ungekuwa unachezwa mdomoni, Uingereza na Tanzania tungekuwa tunapokezana ubingwa wa kombe la dunia.

Vv
Mpira basi umebadilika sana kumbe hamna anaeiamini timu yake na kutoka kifua mbele mi sio muoga kwamba akishinda crotia kuna tatizo?
 
UTABIRI KATIKA NYOTA-KOMBE LA DUNIA
*QUARTER FINAL*
*Tarehe 6*
Uruguay 21+6= 27 witiri
France 6+6=12 Shufwa
*Mshindi; France*

Brazil 2+18=20
Belgium 2+5=7
*Usiku*
Brazil 20+6+1=27 Witiri
Belgium 7+6+1=14 Shufwa
*Mshindi; Belgium*

*Tarehe 7*
Sweden 19+23+7=49 Wtiri
England 5+14+7=26 Shufwa
*Mshindi; England*
*Usiku*
Russia 18+7=25 Witiri
Croatia 3+7=10 Shufwa
*Mshindi; Croatia*

*SEMI FINAL*
*Tarehe 10*
France 6+18+10=34 Shufwa
Belgium 2+5+10=17 Witiri
*Mshindi; France*
*Tarehe 11*
England 5+14+7+12+11=49 Witiri
Croatia 3+18+15+1+11=48 Shufwa
*Mshindi; Croatia*

*THIRD PLACE- MSHINDI WA TATU*
*Tarehe 14*
Belgium 2+14=16 Shufwa
England 5+14=19 Witiri
*Mshindi; Belgium*

*FAINALI*
*Tarehe 15*
Croatia 3
France 6
Tarehe ya Mchezo - 15
Croatia 3+15=18 Shufwa, *Mshindi*
France 6+15=21 Witiri
*Mshindi wa Kombe la Dunia ni* *[emoji471]CROATIA[emoji471][emoji460]*.
 
Watu na imani zao safi mkuu umeamua kuja kiivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…