Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Acha kukariri. Hata kubet ni kuchapa kazi pia.Hapana chapa kazi ndo siri ya mafanikio
Mpira basi umebadilika sana kumbe hamna anaeiamini timu yake na kutoka kifua mbele mi sio muoga kwamba akishinda crotia kuna tatizo?Mpira hauchezwi mdomoni ndugu yangu, kama ungekuwa unachezwa mdomoni, Uingereza na Tanzania tungekuwa tunapokezana ubingwa wa kombe la dunia.
Vv
Kwa wewe sahihiAcha kukariri. Hata kubet ni kuchapa kazi pia.
Kwamba ukisema france anashinda final haijaheshimiwa?Final final tu na iheshimiwe.
Nadhani umeelewa.Kwamba ukisema france anashinda final haijaheshimiwa?
Ukishapata vipicha vya wazungu ndio tayari unajiona matawi ya juu, ha ha ha. Shauri yako.Kwa wewe sahihiView attachment 809291
Kumbe na wewe umegundua safi sana tena tawi la juuu kabisaUkishapata vipicha vya wazungu ndio tayari unajiona matawi ya juu, ha ha ha. Shauri yako.
Upuuzi mtupu.Kumbe na wewe umegundua safi sana tena tawi la juuu kabisa
Mpira ni majigambo ndipo hufanya hii kitu inoge sijawahi kuona mpira unachukuliwa kama msiba watu lazima watambiane japo matokeo ni dakika 90.Nadhani umeelewa.
Sasa si uende kwa welevu wenzio unatafuta nini hapa?Upuuzi mtupu.
Watu na imani zao safi mkuu umeamua kuja kiivyo.UTABIRI KATIKA NYOTA-KOMBE LA DUNIA
*QUARTER FINAL*
*Tarehe 6*
Uruguay 21+6= 27 witiri
France 6+6=12 Shufwa
*Mshindi; France*
Brazil 2+18=20
Belgium 2+5=7
*Usiku*
Brazil 20+6+1=27 Witiri
Belgium 7+6+1=14 Shufwa
*Mshindi; Belgium*
*Tarehe 7*
Sweden 19+23+7=49 Wtiri
England 5+14+7=26 Shufwa
*Mshindi; England*
*Usiku*
Russia 18+7=25 Witiri
Croatia 3+7=10 Shufwa
*Mshindi; Croatia*
*SEMI FINAL*
*Tarehe 10*
France 6+18+10=34 Shufwa
Belgium 2+5+10=17 Witiri
*Mshindi; France*
*Tarehe 11*
England 5+14+7+12+11=49 Witiri
Croatia 3+18+15+1+11=48 Shufwa
*Mshindi; Croatia*
*THIRD PLACE- MSHINDI WA TATU*
*Tarehe 14*
Belgium 2+14=16 Shufwa
England 5+14=19 Witiri
*Mshindi; Belgium*
*FAINALI*
*Tarehe 15*
Croatia 3
France 6
Tarehe ya Mchezo - 15
Croatia 3+15=18 Shufwa, *Mshindi*
France 6+15=21 Witiri
*Mshindi wa Kombe la Dunia ni* *[emoji471]CROATIA[emoji471][emoji460]*.
Usinipangie cha kufanya.Sasa si uende kwa welevu wenzio unatafuta nini hapa?
Kumbe na wewe ni mpuuzi.Usinipangie cha kufanya.
Tuko pamoja mkuu.Sina shaka na france
Rebic, Brozovic naona mtoa mada hajawahi kuwaangalia croatia.Raktik,Mario,Mondric,Perisic hawa jamaa wanajituma sana na wanajua...
Sawa mkuu naona na wewe una majeshi yako safi.Rebic, Brozovic naona mtoa mada hajawahi kuwaangalia croatia.
CROATIA wanajituma sana hawakati tamaa kirahisi.
Kwenda zako huko.Kumbe na wewe ni mpuuzi.