Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Wakati mwingine magaidi wanakuwaga na akili mbovu kweli. Yaani kwenye event kama hii wanapanga mpango wa kuja kulipuwa na kuuwa watu. Nasema wasakwe popote walipo na wapigwe tu. Ikibidi wapate tabu sana
 
Naona Gaucho anapiga ngoma hapa, full burudani....anashangiliwa kinoma noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…