Siempre Hechos
JF-Expert Member
- Dec 9, 2016
- 1,157
- 1,413
Ni zero brain huyu!Ha ha haaaa....mbavu hzi mpak zinauma..yaan waafrika taabu sana kukurupuka kwingi....hata huyo pogba huwa anabahatisha baadh za gemu...Mara nying huwa anacheza kana kwamba hana kichwa
Wanatamani tena utumwa!Wabongo nao wanaishabikia tim yenye weusi,,, huu utumwa kabisa.
Mshabiki wa siku za fainali tu uyo hajui kituHili ni tatizo la kushabikia mpira ukubwani.
Unakuta mtu mzima na akli zake anashangalia Croatia.....watu wnyewe wamefika fainali kwa kuunga unga kwa penati Mara extra Tyme....
Wanatamani tena utumwa!
Hujui soccer wewe nenda facebook ukalike mitindo ya nywele,ungejua soccer usingeongea huo ujinga.
😀hao akina pogba kwanini hawampi skills za kutuliza mpira na kushambulia mwenzao lukaku? lukaku badala ya kutuliza mpira yeye anauongezea kasi mpaka unatoka nje...!
Hahahaha wewe ni mtanzania wa kweli. Unavyo-analyse soka ulitakiwa uwe ktk camera za BBC, Skysports ili watu wajue jinsi Tanzania tulivyo na vichwa vyingi kama wewe na kiongozi wa Green,Yellow,black, blue kitu ganiUnakuta mtu mzima na akli zake anashangalia Croatia.....watu wnyewe wamefika fainali kwa kuunga unga kwa penati Mara extra Tyme....
Ana zaidi ya dk 450 katika zote game alizocheza hana hata shoot moja on target.
Huyu ni mwalimu kashashaHahahaha wewe ni mtanzania wa kweli. Unavyo-analyse soka ulitakiwa uwe ktk camera za BBC, Skysports ili watu wajue jinsi Tanzania tulivyo na vichwa vyingi kama wewe na kiongozi wa Green,Yellow,black, blue kitu gani
Hahaha mkuu umetisha aisee,, hajui anachokisema huyuHujui soccer wewe nenda facebook ukalike mitindo ya nywele,ungejua soccer usingeongea huo ujinga.
Bila shaka wewe ni kichwa majiUnakuta mtu mzima na akli zake anashangalia Croatia.....watu wnyewe wamefika fainali kwa kuunga unga kwa penati Mara extra Tyme....
Usinichekeshe mie, tayari check your pm[emoji85] [emoji85]
Duh! Jana weekend!Unakuta mtu mzima na akli zake anashangalia Croatia.....watu wnyewe wamefika fainali kwa kuunga unga kwa penati Mara extra Tyme....
Punguza hasira....mnafungwa 4 af unadai unajua mpira...mnakimbia kimbia tu uwanjani na wazee wenu...kiufupi waliotarajia Croatia kushinda akli zao haziko sawaHujui soccer wewe nenda facebook ukalike mitindo ya nywele,ungejua soccer usingeongea huo ujinga.