Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Kocha nae kachagua wapiga penalty kisiasa, nia yake ni kuchanganya wachezaji wa timu tofauti kumbe anaharibu. Utaachaje kumpa penalty fundi kama Isco. Hii ni World Cup, lawama baadae .
 
namshukuru sana muumba wa mbingu na ardhi kwa baraka zake zisizopimika kwa mizani yoyote ile. Pia ni furaha kubwa sana kwa JF kurudi siku muhimu sana kwetu sisi wapenzi wa mpira wa miguu.
nimeona nifukue makaburi ya comment zangu nilizowahi kuandika kwenye thread hii kuhusiana na mtazamo wangu wa baadhi ya timu kuelekea kombe la dunia.
dah nimebaki nikijiuliza sijui nivae viatu vya sheikh yahya?
MAY 22 baada ya kutangazwa kikosi cha Argentina niliandika maneno yafuatayo kwenye thread hii:

duh! kama nchi ya Argentina wamechoka kuzalisha wachezaji wapya na wenye viwango ambao watalisaidia taifa lao kwenye sekta ya michezo hususan mpira wa miguu basi waige mfumo wa Ufaransa na ujerumani kwa kuwapa uraia wageni, naamini hili tatizo la uhaba wa viungo kwenye timu yao ya taifa litakwisha kwa sababu bara la afrika linaongoza kuzalisha viungo na mabeki na ndio maana ufaransa hawajawahi kuwa na uhaba wa mabeki na viungo kwenye timu yao ya taifa.
sote tunafahamu ya kwamba Argentina alifuzu kombe la dunia kimaajabu lakini cha kushangaza mpaka leo wanakwenda kwenye world cup na aina ya wachezaji kama mascherano ambaye anacheza nchini china,
lucas biglia kutoka AC Milan,
marcos rojo ambaye msimu mzima amecheza mechi saba,
giovani lo celso ambaye PSG hana namba kwenye kikosi cha kwanza na wakati huo huo rabiot ambaye anacheza kikosi cha kwanza kwenye timu ya PSG ameachwa timu ya taifa ya ufaransa.
namuonea huruma sana ever banega.
NB:

jana tumeshuhudia argentina akitupwa nje na ufaransa iliokuwa na 75% ya wachezaji wakigeni.
 
Walishawahi kuchukua Kombe hata mara moja? Nijuze aisee
Naam wacha nimsaidie kujibu mwaka 1950 tena pale pale nyumbani kwa brazil.Golie mocair barbosa alikuwa kipa mahiri kabisa wa brazil lakini alifanya kosa la kizembe na kuwazawadia goli uruguay na wa brazil walimnunia kwa miaka 50 kutokana na kosa hili.alikuwa akilalamika kuwa adhabu ya juu ya kifungo ni miaka 30 sasa mbona wao wamemnunia kwa miaka 50.
 
Cesc Fabregas, Marcos Alonso and Alvaro Morata...come here, lets laugh on our way to Cobham[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
-Captain Cesar Azipilicueta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…