Russia yalalamikiwa kutumia 'mobile games' kwenye smartphone kutambua sehemu zenye wanajeshi wa Ukraine na kisha kuzipelekea moto mkali

Russia yalalamikiwa kutumia 'mobile games' kwenye smartphone kutambua sehemu zenye wanajeshi wa Ukraine na kisha kuzipelekea moto mkali

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Russia imetengeneza mobile application ya game kwenye smartphone ambayo watoto wa Ukraine wanaotaka kushiriki kucheza wanajisajili na kuingia kwenye kucheza game.

Washiriki wa game hilo wanapewa maelekezo ya kuchagua boksi lenye zawadi ndani yake kisha zawadi utazokuta ndani yake unabadilishiwa kwa kupewa pesa za mtandaoni (electronic money).

Ili kuweza kuona maboksi hayo yenye zawadi tofauti, watoto (washiriki wa mchezo huo) wanaelekezwa wapige picha kwenye mandhari zinazowazunguka zioneshe miundombinu yoyote ya kijeshi iliyopo. Baada ya kupiga picha, washiriki wanatakiwa wa-upload picha hizo pamoja na latitudes/longitudes za sehemu husika kwenye database ya game hiyo.

Kupitia hivyo jamaa (wajeda wa Russia) wanapata taarifa za sehemu kuliko na miundombinu ya kijeshi au wanajeshi wa Ukraine walipojificha na hivyo majeshi ya Russia yanapelekeka moto mkali wa mvua za makombora na mizinga kwenye sehemu zenye wanajeshi au mindombinu ya jeshi la Ukraine.

Shikamoo Russia🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
=======

SmartSelect_20220525-212533_Chrome.jpg
Screenshot_20220525-212637_Chrome.jpg
SmartSelect_20220525-212817_Chrome.jpg
 
Russia imetengeneza mobile application ya game kwenye smartphone ambayo watoto wa Ukraine wanaotaka kushiriki kucheza wanajisajili na kuingia kwenye kucheza game...
Hizo longitude na latitude watoto wanazijuaje sasa,mimi mwenyewe na ukubwa wangu huu ukinambia nikutajie longitude ya mahali nilipo ntaumiza kichwa sana mpaka nikutajie,ila mimi ninachokijua watu wa Ulaya na marekani wapo vizuri sana katika masuala ya compass direction ukimuuliza njia anakupa maelekezo kwa kutumia compass direction sijajua longitude unazipata vipi fastafasta namna hiyo
 
Hizo longitude na latitude watoto wanazijuaje sasa,mimi mwenyewe na ukubwa wangu huu ukinambia nikutajie longitude ya mahali nilipo ntaumiza kichwa sana mpaka nikutajie,ila mimi ninachokijua watu wa Ulaya na marekani wapo vizuri sana katika masuala ya compass direction ukimuuliza njia anakupa maelekezo kwa kutumia compass direction sijajua longitude unazipata vipi fastafasta namna hiyo
Kwa sababu mtaala wa elimu yako.......ulifundishwa mambo ya NGONI MIGRATION, MFECANE WAR, vitu ambavyo Ni unrealistic with the changing world of today.....
 
Kwa sababu mtaala wa elimu yako.......ulifundishwa mambo ya NGONI MIGRATION, MFECANE WAR, vitu ambavyo Ni unrealistic with the changing world of today.....
Wwe ambaye umetumia mtaala wa Cambridge haya sasa tuambie ukishtukizwa hapo ulipo utaje longitude ya eneo hilo utaanzaje mwenzetu
 
Hizo longitude na latitude watoto wanazijuaje sasa,mimi mwenyewe na ukubwa wangu huu ukinambia nikutajie longitude ya mahali nilipo ntaumiza kichwa sana mpaka nikutajie,ila mimi ninachokijua watu wa Ulaya na marekani wapo vizuri sana katika masuala ya compass direction ukimuuliza njia anakupa maelekezo kwa kutumia compass direction sijajua longitude unazipata vipi fastafasta namna hiyo
Ukipiga picha kwa simu yako, kuna information nyingi sana zinakuwa saved kwenye hio picha. Sio longitude na latitude tu, bali mda ulopiga, simu ilotumika na maelezo mengi sana
 
Kama hadi urusi wameanza kutegemea magame kufanya upelelezi sasa inamaana hapo set right zao zinafanya kazi gani ikiwa saizi ukiingia tu utube unaangalia vita live Ukraine
 
Hii mbona kama chai fulani? Hiyo Game iko uploaded Playstore au AppStore ambazo mdhibiti ni Mmarekani?
Kama sivyo watoto wamezitolea wapi?

Sounds like a proper ganda!
Acha uvivu wa kusoma!

Kwani hujaona taarifa kama hii hapa chini ktk article hiyo ya kiingereza?

"An IT company controlled by the Russian special services, which is registered in one of the European countries and distributes interactive platforms, has access to the administration of this application."

Halafu umeshindwa hata kushughulisha ubongo wako na kufatilia taarifa hiyo ambayo ipo pia kwenye Journal ya Ukraine "The Odessa Journal" na mlalamikaji ni Ukraine akiituhumu Russia?

Au ndio kwa mtaala wa elimu yetu ya kukariri ya Tanzania waona ni jambo guumu kutengeneza app hiyo?!
SmartSelect_20220526-103634_Chrome.jpg
Screenshot_20220526-103740_Chrome.jpg
 
Sisi mbona tunaona live mkong'oto naoutoa putin dem bwoy kwa mazafakerz nato
 
Acha uvivu wa kusoma!

Kwani hujaona taarifa kama hii hapa chini ktk article hiyo ya kiingereza?

"An IT company controlled by the Russian special services, which is registered in one of the European countries and distributes interactive platforms, has access to the administration of this application."

Halafu umeshindwa hata kushughulisha ubongo wako na kufatilia taarifa hiyo ambayo ipo pia kwenye Journal ya Ukraine "The Odessa Journal" na mlalamikaji ni Ukraine akiituhumu Russia?

Au ndio kwa mtaala wa elimu yetu ya kukariri ya Tanzania waona ni jambo guumu kutengeneza app hiyo?!
View attachment 2239045View attachment 2239050
How does this answer the questions I raised?
Anyway inawezekana naongea na layman muchknow!
 
Back
Top Bottom