😀🤣😂Hapo putin ameweka chambo siyo pa kwenda kichwa kichwa na kupeleka tumbo.....
We waache wafurahie tuHapo putin ameweka chambo siyo pa kwenda kichwa kichwa na kupeleka tumbo.....
Wajinga awajui ...tena wayukraine wakienda hapo wanakuwa wamejifungia wenyewe ...wote watatekwa na jeshi la urussiHapo putin ameweka chambo siyo pa kwenda kichwa kichwa na kupeleka tumbo.....
Hiki Kisiwa kimekuwa kaburi kwa Urusi, wamejaribu zaidi ya mara tatu kukishikilia ila wanayakutana nayo yanawazidi uwezo.Hapo putin ameweka chambo siyo pa kwenda kichwa kichwa na kupeleka tumbo.....
Hongereni kwakuikomboa MAURIOPOLHiki Kisiwa kimekuwa kaburi kwa Urusi, wamejaribu zaidi ya mara tatu kukishikilia ila wanayakutana nayo yanawazidi uwezo.
Nina imani unajua kusoma lugha hii. KaribuHiki Kisiwa kimekuwa kaburi kwa Urusi, wamejaribu zaidi ya mara tatu kukishikilia ila wanayakutana nayo yanawazidi uwezo.
Sawasawa. Hakuna vita Ukraine (special operesheni tu), Putin hakupigwa Kyiv (alitaka kuwatania Waukraine tu kidogo), maiti za Bucha zilipelekwa huko na jeshi la Ukraine . . .Nina imani unajua kusoma lugha hii. Karibu
====
The Russian military withdrew the garrison stationed on the island. The Russian Ministry of Defence claimed this was a step of goodwill aimed at demonstrating to the world community that Moscow does not hinder the efforts of the UN to organize a humanitarian corridor for the export of grain from the territory of Ukraine.
Daah wabongo mnajua vita hadi raha🤣🤣Hapo putin ameweka chambo siyo pa kwenda kichwa kichwa na kupeleka tumbo.....
Mambo yamenoga.Sawasawa. Hakuna vita Ukraine (special operesheni tu), Putin hakupigwa Kyiv (alitaka kuwatania Waukraine tu kidogo), maiti za Bucha zilipelekwa huko na jeshi la Ukraine . . .
Na vita - hapana SPECIAL OPERATION inaenda kufutana mpango wa awali. Pia kuondoka kwa Putin Snake Island hakuna uhusiano na mizinga ya Ukraine iliyoanza kupiga tangu juzi hadi kisiwa kile kwa uwezo wa kurusha grenedi 6 kwa dakika, hii yote ni kufuatana na mpango wa awali.
Tusisahau: Urusi ni Taifa Teule, si Zimbabwe (kwa nini Zimbabwe???) na Putin ndiye mwamba!