Ruto aachie ngazi kulinda uhai wa Wakenya

Ruto aachie ngazi kulinda uhai wa Wakenya

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
1. Kutokubalika kwa sera zake za Kodi mpya kila kukicha na mauaji yanayoendelea ingefaa Dkt. Ruto apumzike kupisha uchaguzi Mkuu mpya.

2. Kenya inastahili Rais mpya mwenye maono na Sera mpya.

3. Kuendelea kushupaza shingo. Ni kuruhusu mauaji zaidi na mdororo wa uchumi

1000084924.jpg
 
Kujiuzulu kutamfanya apate muda wa kuliwa familia na kuendeleza biashara zake
 
1. Kutokubalika kwa sera zake za Kodi mpya kila kukicha na mauaji yanayoendelea ingefaa Dkt. Ruto apumzike kupisha uchaguzi Mkuu mpya.

2. Kenya inastahili Rais mpya mwenye maono na Sera mpya.

3. Kuendelea kushupaza shingo. Ni kuruhusu mauaji zaidi na mdororo wa uchumi

View attachment 3041239
Katiba (mpya) Yao inasemaje akiachia ngazi?
 
NASIKIA KINACHOFANYIKA SASA HIVI NIKUMALIZA CHOCHOTE WANAO MUUNGA MKONO RUTO YANI KAMA NI FAMILIA,CHAWA WA RUTO NA MENGINE
 
Back
Top Bottom