Ruto abatizwa jina la Flying President au Tangatanga

Ruto abatizwa jina la Flying President au Tangatanga

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716

Wakenya sasa wanamwita Rais wao kwa jina la Flying President au Mr Tangatanga kutokana na Muda mwingi kwa Safarini

Hivi Karibuni Rais Ruto alikuwa Marekani kwa Mwaliko wa Rais Biden kisha akaelekea Korea Kusini na sasa yuko Italy kwa Mwaliko wa G7

Source Citizen TV
 
Kuna slogan inasema if it moves ruto taxes it
 
Anachanja mbuga tu kama kawaida, halafu marais wanaosafiri sana hua hawafanyi makubwa ya maendeleo kwenye nchi zao
 
Ruto na Samia wanachuana kusafiri nje. Wanashindana vikali kuweka rekodi. Ni mapacha.
 
Wakenya sasa wanamwita Rais wao kwa jina la Flying President au Mr Tangatanga kutokana na Muda mwingi kwa Safarini

Hivi Karibuni Rais Ruto alikuwa Marekani kwa Mwaliko wa Rais Biden kisha akaelekea Korea Kusini na sasa yuko Italy kwa Mwaliko wa G7

Source Citizen TV
Huyu jamaa anahangaika sana. Sijui kama majirani hatutaguswa na umalaya wake huu!
Ni hatari sana ukichukulia mwelekeo mpya wa dunia unavyokwenda.
 
Back
Top Bottom