Kenya 2022 Ruto abeba majimbo yote eneo la Mgombea Mwenza wa Raila

Kenya 2022 Ruto abeba majimbo yote eneo la Mgombea Mwenza wa Raila

Kenya 2022 General Election

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Mgombea Urais kupitia UDA, William Ruto anaongoza kwa idadi ya Kura dhidi ya Mgombea wa Azimio, Raila Odinga kwa mujibu wa takwimu za Nation Media. Hadi kufikia saa 12:00 jioni leo, Ruto alikua na Kura 6,676,809 (50.20) akifuatiwa na Raila Odinga mwenye Kura 6,534,171 (49.13)

Takwimu hizo zinaonesha jumla ya Kura 13,300,864 zimehesabiwa kutoka vituo 41,245 kati ya vituo 46,229

Chama cha Mgombea Urais William Ruto, United Democratic Alliance (UDA) kimenyakua viti vyote vya Ubunge kwenye Kaunti ya Kirinyaga. Kirinyaga ni eneo analotokea Martha Karua, Mgombea Mwenza wa Muungano wa Azimio la Umoja One.

Majimbo yote manne ambayo ni Kirinyaga ya Kati, Gichugu, Ndia na Mwea yamechukuliwa na Wagombea wa UDA.

-----------------

Deputy President William Ruto's United Democratic Alliance (UDA) has swept up all the parliamentary seats in Kirinyaga County.

The party handed Raila Odinga's Azimio la Umoja One Kenya Coalition a humiliating defeat in the region which is also his running mate Martha Karua's backyard.

In all the four constituencies, namely Kirinyaga Central, Gichugu, Ndia and Mwea, UDA candidates bagged all the Parliamentary seats.
 
Mgombea Urais kupitia UDA, William Ruto anaongoza kwa idadi ya Kura dhidi ya Mgombea wa Azimio, Raila Odinga kwa mujibu wa takwimu za Nation Media. Hadi kufikia saa 12:00 jioni leo, Ruto alikua na Kura 6,676,809 (50.20) akifuatiwa na Raila Odinga mwenye Kura 6,534,171 (49.13)

Takwimu hizo zinaonesha jumla ya Kura 13,300,864 zimehesabiwa kutoka vituo 41,245 kati ya vituo 46,229
 
Kenya wamechoka na Kelele za wazee wa Uhuru sijui nini. Sasa mtoto wa mfugaji anaenda kuapishwa.
 
The title is misleading!! Odinga alipata kura elfu 3 pekee hapo Kirinyaga but sasa kapata almost 40k sasa huoni ame gain?? Na sio hapo tu Kiambu amepata kura almost 30% wakati alikua hawezi fikisha hata kura 10k county nzima!!! So kuna gains kapata from 3% to over 20% in Mount Kenya so kama kura za Wakikuyu ni million 3 Ina maana Raila kabeba Laki 6!! Which is a very big gain kuliko chaguzi zote alizowahi gombea
 
Back
Top Bottom