Ruto akiwa shambani kwake Sugoi kwa mapunziko

Ruto akiwa shambani kwake Sugoi kwa mapunziko

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Hii ina Inspire sana, na Kiongozi kama huyu akifuatwa na wakulima wakwamwambia kwamba Bei za vyakula vya mifugo ziko juu, anaelewa wanacho manisha.
FB_IMG_1671896286349.jpg
FB_IMG_1671896291510.jpg
FB_IMG_1671896295773.jpg
FB_IMG_1671896299931.jpg
FB_IMG_1671896305645.jpg
FB_IMG_1671896313527.jpg
FB_IMG_1671896316803.jpg
 
Hata na hivyo ni Raisi ila ufugaji anafanya kitambo sana hata kabla hajawa Makapo wa Raisi yaani kitambo sana

..naona ng'ombe wa Mzee Ruto ni Fresian.

..nilitarajia kuona akifuga Fleckvieh.

NB:

.. CHASHA FARMING niliku-tag kuhusu tangazo kwamba MkulimaSmart wanaweza kuagiza Fleckvieh toka Kenya na kuwafikisha kwa wateja walioko Tanzania.
 
..naona ng'ombe wa Mzee Ruto ni Fresian.

..nilitarajia kuona akifuga Fleckvieh.

NB:

.. CHASHA FARMING niliku-tag kuhusu tangazo kwamba MkulimaSmart wanaweza kuagiza Fleckvieh toka Kenya na kuwafikisha kwa wateja walioko Tanzania.
Kuna semen zinapatikana Tanzania
 
Back
Top Bottom