Ruto akutana na Biden asema anaiwakilisha Africa Mashariki kwa hii fursa adimu iliyopatikana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais Rutto amesema kwa sababu ni nadra sana viongozi wa Africa Mashariki kukutana na Rais wawapo Marekani basi Rais Biden aelewe kukutana kwao ni kwa manufaa ya Marekani na Africa Mashariki

Biden naye kampongeza kwa Kutokuwa mbinafsi

Credit: BBC

Tanzania tumewakilishwa πŸ˜ƒπŸŒΉ
 
Rais wa Jamuhuri ya Kenya, Dr.William Samoe Arap Kipchichiri Ruto ni miongni mwa wanasiasa wajanja sana barani Africa.

na kwakweli anatuwakilisha vizuri sana huko marikani πŸ’
 
Weka video basi, usikute unatupanga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…