yoruba na igbo mimi ninawa regard kama wabantu tu bwana wana physical features zote za kibantu. mafala tu wazungu walitaka kutubagua.mkuu uko 50% 50%
Uongo na ukweli
Nchi za kibantu ziko stable zaidi kuliko jamii ya nilotic na cushite✅
yoruba na igbo siyo wabantu
Hao wote ni west africa ni niger congoyoruba na igbo mimi ninawa regard kama wabantu tu bwana wana physical features zote za kibantu. mafala tu wazungu walitaka kutubagua.
kuna wengine nimewahi kuwasikia wanawahusisha waigbo na wajaluo kua wana asili moja.
Kumbe baraka ktk category ya utashi na akili tumenyimwa, na ukiangalia kwa jicho la tatu, tulivonyimwa ndo vilipaswa kuwa vipaumbele kabla ya kila kituHapo sasa ndipo inahitaj utashi na akili!!
ganUbaguzi mliofunzwa na wazungu na nyie mnauendeleza.
Kwenye Waarabu
Popote Duniani penye watu Weusi kuna Uhalifu, Ujinga, Maradhi na Umasikini sana.Ila ndiyo ukweli mtupu, sisi watu weusi ni changamoto kubwa sana yaani.
wazanzibar si wabantuPopote Duniani penye watu Weusi kuna Uhalifu, Ujinga, Maradhi na Umasikini sana.
Ndio maana Wasomali wanawaita Wabantu "Nywele ngumu" na Wazenji wanawaita "Vichogo" 🤣🤣🤣
Umeandika kwa chuki na hasira hata marejeleo yako pia ni ya uongo (umetumia reference ya mwaka 2022) kuelezea Baraza la Mawaziri la Serikali ya William Ruto. Kwa sasa kuna Mawaziri Watano (5) ambao ni Wabantu Dr. Aflred Mutua, Dr. Opiyo Wandayi, Wycliffe Oparanya , John Mbadi na AG Bi. Dorcas Odour. Hawa so called wajaluo wa Suba sio wajaluo 100 bali ni wasuba , Wasuba ni Wabantu sio wajaluo 'nailotiki'. Wasuba wapo Uganda, Kenya na Tanzania wote wanaishi kwa wanazunguka Ziwa Nyanza ⤵️Hatimaye Ruto kaingia kwene 18 za hawa jamaa saizi nayeye kaanza kupambana na wabantu.
Anahakikisha kenya haitakuja kutawaliwa na wabantu milele kwa kuwaweka mawazili wenye asili ya nilotic na wasomali
Hapa namaanisha wale wenye asili ya Uarabuwazanzibar si wabantu
kivpNdio gen z walichokitaka?
Hao inabidi warudi kwaoHapa namaanisha wale wenye asili ya Uarabu
Kwao wapi wakati Washirazi wamekuwepo kule kabla ya watu weusi wote kufika Tanganyika na Zanzibar?Hao inabidi warudi kwao
sisi mkuu umasikini wetu ni wa akili mali tunazo…..wenzetu wakiwa masikini unakuta hawana mali ila akili wanazo ndio maana wanatumia akili kuja kurubuni Africa ambako hatuna akiliHata wazungu naoa wangekua masikini wangegawanywa!!
Angalia china inavojalibu kuzipishanisha nchi za EU
umasikini n mbaya
kuna hii piaKwa wanaofuatilia Siasa za Kanda ya Ziwa mtakua pamoja namm kuiona pattern inayojichora ya Paul kagame,Mseveni na Ruto
Hatimaye Ruto kaingia kwene 18 za hawa jamaa saizi nayeye kaanza kupambana na wabantu.
Anahakikisha kenya haitakuja kutawaliwa na wabantu milele kwa kuwaweka mawazili wenye asili ya nilotic na wasomali.
VITA bado ni kali ukanda huu.
Wabantu ni watu wasio na umoja Africa nzima richa ya kuwa ndio wengi kwene ukanda wa subsahara lakini impact yao ni zero.
Kwanini wanachukiwa
Wabantu wanachukiwa kwa sababu uzao wao umebarikiwa
Nchi zao hazina vita
Nchi zao ndio zenye uchumi mkubwa
Nchi zao zinastawi kulinganisha na jamii nyingine
Uzao wao umetapakaa maeneo yote ya Africa hasa kusini mwa africa.
Somali politicians secure top positions in Kenya’s security apparatus
Mogadishu (HOL) - Ethnic Somali politicians from Kenya's North East region are gaining more clout in Kenyan President William Ruto’s government, particularly in the security sector.www.hiiraan.com
Africa tuna watu wenye akili sema tunaongozwa na viongozi vilaza ambao wanawaona wenye akili ni tishio kwenye madaraka yao kinachofuata Wafrica wengi wanakimbilia ulaya na nchi nyingine za wazungu.sisi mkuu umasikini wetu ni wa akili mali tunazo…..wenzetu wakiwa masikini unakuta hawana mali ila akili wanazo ndio maana wanatumia akili kuja kurubuni Africa ambako hatuna akili
hii mbumbu ya wapi???😂😂😂Kw
Kwao wapi wakati Washirazi wamekuwepo kule kabla ya watu weusi wote kufika Tanganyika na Zanzibar?
Au hujui Historia, Washirazi ndio Wapersia wamekaa kule kwa zaidi ya miaka 700
Wasomali hela nyingi wanazipata kwene ugaidi (black market), uharamia wa baharini ,madawa ya kulevya halafu wanaingia kenya wengine south Africa kwenda kuzitakatisha kwene biashara halali….Yaan mkuu hapa mi naww tunapishana
Watu kabila moja
Watu dini moja
Watu nchi moja
washindwe kujenga nchi yao kila dakika mtutu nchi haikaliki hailimiki wala haifanyiki biashara kwa miaka 30 kuna njaa,mauaji, ugaidi uharamia kwene maji hafu useme
wako royal
waaminifu
sijui nn!! mkuu mi napinga watakua wanawaigizia wakiwa nchi za watu.
Huwezi kuleta fujo nchini kwa watu mkuu utatimuliwa mapema
Rejea watutsi walivokimbilia kongo au walivoingia Kanda ya ziwa?? saizi mnaziona rangi zao zote saba
ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno ….jiwe lililokataliwa na waasi limekua jiwe kuu…..au Yusufu mtoto wa Yacobo alivouzwa na kaka zake utumwani akageuka mfalme….sisi hatuna muda wa kuthamini vitu vinavyotazamiwa kuja kuwa vizuri watoto wapo DIT na NIT pale wako so inovative ila kila siku wanagundua vitu hakuna muendelezoAfrica tuna watu wenye akili sema tunaongozwa na viongozi vilaza ambao wanawaona wenye akili ni tishio kwenye madaraka yao kinachofuata Wafrica wengi wanakimbilia ulaya na nchi nyingine za wazungu.
ndo utasikia mmarekan mweusi amegundua drone
Au kama unavoona mbape leo anang’ara kwene mpira nchini kwake walimkataa wazungu wakampa nafasi