Ruto amewaondoa Wabantu wote katika Serikali yake na kuwapatia vyeo wasomali. Lengo ni kuwaua Kisiasa milele nchini Kenya!

mkuu uko 50% 50%
Uongo na ukweli
Nchi za kibantu ziko stable zaidi kuliko jamii ya nilotic na cushite✅

yoruba na igbo siyo wabantu
yoruba na igbo mimi ninawa regard kama wabantu tu bwana wana physical features zote za kibantu. mafala tu wazungu walitaka kutubagua.

kuna wengine nimewahi kuwasikia wanawahusisha waigbo na wajaluo kua wana asili moja.
 
yoruba na igbo mimi ninawa regard kama wabantu tu bwana wana physical features zote za kibantu. mafala tu wazungu walitaka kutubagua.

kuna wengine nimewahi kuwasikia wanawahusisha waigbo na wajaluo kua wana asili moja.
Hao wote ni west africa ni niger congo
bantu kuanzia cameroon kuja kusini mwa africa.
 
Popote Duniani penye watu Weusi kuna Uhalifu, Ujinga, Maradhi na Umasikini sana.

Ndio maana Wasomali wanawaita Wabantu "Nywele ngumu" na Wazenji wanawaita "Vichogo" 🤣🤣🤣
wazanzibar si wabantu
 
Hatimaye Ruto kaingia kwene 18 za hawa jamaa saizi nayeye kaanza kupambana na wabantu.

Anahakikisha kenya haitakuja kutawaliwa na wabantu milele kwa kuwaweka mawazili wenye asili ya nilotic na wasomali
Umeandika kwa chuki na hasira hata marejeleo yako pia ni ya uongo (umetumia reference ya mwaka 2022) kuelezea Baraza la Mawaziri la Serikali ya William Ruto. Kwa sasa kuna Mawaziri Watano (5) ambao ni Wabantu Dr. Aflred Mutua, Dr. Opiyo Wandayi, Wycliffe Oparanya , John Mbadi na AG Bi. Dorcas Odour. Hawa so called wajaluo wa Suba sio wajaluo 100 bali ni wasuba , Wasuba ni Wabantu sio wajaluo 'nailotiki'. Wasuba wapo Uganda, Kenya na Tanzania wote wanaishi kwa wanazunguka Ziwa Nyanza ⤵️
 
Hata wazungu naoa wangekua masikini wangegawanywa!!

Angalia china inavojalibu kuzipishanisha nchi za EU
umasikini n mbaya
sisi mkuu umasikini wetu ni wa akili mali tunazo…..wenzetu wakiwa masikini unakuta hawana mali ila akili wanazo ndio maana wanatumia akili kuja kurubuni Africa ambako hatuna akili
 
kuna hii pia


View: https://youtu.be/hHpWwa2Qlg4?si=ehl0w0C0GRhDpcgC
 
sisi mkuu umasikini wetu ni wa akili mali tunazo…..wenzetu wakiwa masikini unakuta hawana mali ila akili wanazo ndio maana wanatumia akili kuja kurubuni Africa ambako hatuna akili
Africa tuna watu wenye akili sema tunaongozwa na viongozi vilaza ambao wanawaona wenye akili ni tishio kwenye madaraka yao kinachofuata Wafrica wengi wanakimbilia ulaya na nchi nyingine za wazungu.

ndo utasikia mmarekan mweusi amegundua drone

Au kama unavoona mbape leo anang’ara kwene mpira nchini kwake walimkataa wazungu wakampa nafasi
 
Kw

Kwao wapi wakati Washirazi wamekuwepo kule kabla ya watu weusi wote kufika Tanganyika na Zanzibar?

Au hujui Historia, Washirazi ndio Wapersia wamekaa kule kwa zaidi ya miaka 700
hii mbumbu ya wapi???😂😂😂

Yaan muiran au muarabu alikuepo Tanganyika na zanzibar kabla ya muafrica kuwepo 😂😂😂😂

Kweli wajinga hawaishi!
mnyongwe tu nyie hamna msaada
 
Wasomali hela nyingi wanazipata kwene ugaidi (black market), uharamia wa baharini ,madawa ya kulevya halafu wanaingia kenya wengine south Africa kwenda kuzitakatisha kwene biashara halali….
Ni wapumbavu pekee watabakia ooh wanaumoja,wanachangiana

Kwan AFRICA NZIMA WAO NDO WANAJUA KUCHANGIANA?
 
ganda la muwa la jana chungu kaona kivuno ….jiwe lililokataliwa na waasi limekua jiwe kuu…..au Yusufu mtoto wa Yacobo alivouzwa na kaka zake utumwani akageuka mfalme….sisi hatuna muda wa kuthamini vitu vinavyotazamiwa kuja kuwa vizuri watoto wapo DIT na NIT pale wako so inovative ila kila siku wanagundua vitu hakuna muendelezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…