Kenya 2022 Ruto amewashukuru Wakenya kwa kumpenda na kumchagua kuwa Rais

Kenya 2022 Ruto amewashukuru Wakenya kwa kumpenda na kumchagua kuwa Rais

Kenya 2022 General Election

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais mteule wa Kenya Dr. Ruto, amewashukuru wakenya kwa kumchagua kuwa Rais sawia na magavana, maseneta na wabunge wa Kenya Kwanza.

Ruto ametoa shukrani akiwa ibadani huko Nakuru.

Source: Citizen TV
 
Rais mteule wa Kenya Dr Ruto amewashukuru Wakenya kwa kumchagua kuwa Rais sawia na Magavana Maseneta na Wabunge wa Kenya Kwanza

Ruto ametoa shukrani akiwa Ibadani huko Nakuru

Source Citizen tv
Badala ya kuhamasisha TOZO unahangaika na Siasa za Kenya TANZANIA haiziwezi kwani Wajinga ni WENGI sana
 
Ruto na Raila Wote ni Watu wa CCM

Nimewaona Job na Freeman pale airport wanaelekea UK kwa Uchaguzi wa Conservative kesho
Kila anayeshinda CCM husema ni rafiki yao. sifa za mnafiki ni tatu: anapozungumza husema uongo, anapotoa ahadi hatimizi, na anapoaminiwa hufanya hiyana
 
Rais mteule wa Kenya Dr. Ruto, amewashukuru wakenya kwa kumchagua kuwa Rais sawia na magavana, maseneta na wabunge wa Kenya Kwanza.

Ruto ametoa shukrani akiwa ibadani huko Nakuru.

Source: Citizen TV
kenya level ya transparency iko juu...
 
Back
Top Bottom