johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tanzania kuna mrundikano mkubwa wa Machawa dalili ambayo siyo ya kufurahisha
Nimeona Ruto akiliambia Kanisa la Kenya kuwa Serikali yake inaungana na Rais Trump wa US katika kutambua Jenda mbili tu Mwanamume na Mwanamke kama ilivyo Kwenye Biblia.
Nimeona Ruto akiliambia Kanisa la Kenya kuwa Serikali yake inaungana na Rais Trump wa US katika kutambua Jenda mbili tu Mwanamume na Mwanamke kama ilivyo Kwenye Biblia.