johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
HAHAHAHA KA NCHI KANAONGOZWA NA WASAGAJI NA WAKOBOAJI AF UNATAKA WATOE TAMKO JUU YA MABASHA.Tanzania kuna mrundikano mkubwa wa Machawa dalili ambayo siyo ya kufurahisha
Nimeona Ruto akiliambia Kanisa la Kenya kuwa Serikali yake inaungana na Rais Trump wa US katika kutambua Jenda mbili tu Mwanamume na Mwanamke kama ilivyo Kwenye Biblia.
Hasa huyo rutoViongozi wa Africa ni vigeugeu sana.
Kesho Trump akibadili msimamo au akija Rais mwingine akaja na msimamo tofauti na Trump utasikia nao wanaunga mkono.
Kuna watu hata hamuelewi. Trump kusema anatambua sex mbili za mwanaume na Mwanamke haina maana anapingana na sera za Marekani za ushoga.Msimamo gani na sheria zipo tokea enzi za ukoloni kupinga mahusiano ya jinsia moja!!. Tunapenda kutoa umuhimu kwa vitu useless sana.
Mkuu unaushahidi gani juu ya hiliHAHAHAHA KA NCHI KANAONGOZWA NA WASAGAJI NA WAKOBOAJI AF UNATAKA WATOE TAMKO JUU YA MABASHA.
MAUJINGAUJINGA
Unataka kusema nini wewe, utatekwa shauri yako.Tanzania kuna mrundikano mkubwa wa Machawa dalili ambayo siyo ya kufurahisha
Nimeona Ruto akiliambia Kanisa la Kenya kuwa Serikali yake inaungana na Rais Trump wa US katika kutambua Jenda mbili tu Mwanamume na Mwanamke kama ilivyo Kwenye Biblia.
Watu wanaenda na upepo 🤣🤣huyu si ndo aliekua rafiki mkubwa wa Biden na hadi ubalozi wa Kenya pale aliwekwa mtu wa Kamala......babu Biden hadi alimuachia kiti cha white house aweke kalio lake leo hii tena anapingana na walichopitisha maboss wake waliopita.........uchawa promax.......hawa ndo kamati ya ufundi ya babu biden kama wale wazee wa simba na yangaTanzania kuna mrundikano mkubwa wa Machawa dalili ambayo siyo ya kufurahisha
Nimeona Ruto akiliambia Kanisa la Kenya kuwa Serikali yake inaungana na Rais Trump wa US katika kutambua Jenda mbili tu Mwanamume na Mwanamke kama ilivyo Kwenye Biblia.
Hapa nafikiri zipo zaidi ya 6.Tanzania kuna mrundikano mkubwa wa Machawa dalili ambayo siyo ya kufurahisha
Nimeona Ruto akiliambia Kanisa la Kenya kuwa Serikali yake inaungana na Rais Trump wa US katika kutambua Jenda mbili tu Mwanamume na Mwanamke kama ilivyo Kwenye Biblia.