Ruto asisitiza Kizazi hiki cha Digital hakina Siri hivyo Viongozi wawe makini sana wasidhani Wamejificha!

Ruto asisitiza Kizazi hiki cha Digital hakina Siri hivyo Viongozi wawe makini sana wasidhani Wamejificha!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nakubaliana na Dr Ruto na hasa ikizingatiwa Elon Musk sasa ni mshauri wa Rais wa Marekani Taifa lenye nguvu kabisa Duniani

Ruto amesema dhana ya dunia ni Kijiji siyo ya kufikirika ni jambo halisi hivyo Wanasiasa wa Africa wawe makini sana hasa wanapoingia Mikataba

Alikuwa akiwaambia Maseneta na Wabunge Kwa niaba ya Wanasiasa Wote wa Africa mashariki

Sabato njema 😃
 
Nakubaliana na Dr Ruto na hasa ikizingatiwa Elon Musk sasa ni mshauri wa Rais wa Marekani Taifa lenye nguvu kabisa Duniani

Ruto amesema dhana ya dunia ni Kijiji siyo ya kufikirika ni jambo halisi hivyo Wanasiasa wa Africa wawe makini sana hasa wanapoingia Mikataba

Alikuwa akiwaambia Maseneta na Wabunge Kwa niaba ya Wanasiasa Wote wa Africa mashariki

Sabato njema 😃
Wakwetu wanahusika pia?Kwani aliahidi tunahitaji kurejeshwa utumwani ili akili zitujie.
 
Back
Top Bottom