Ruto ateua wawakilishi wake katika makabidhiano ya Mamlaka

Ruto ateua wawakilishi wake katika makabidhiano ya Mamlaka

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Rais mteule, William Ruto amewasilisha orodha ya wawakilishi kwa kamati ya mpito ambayo ina jukumu la kuhakikisha makabidhiano ya mamlaka kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta hadi kwa Mrithi wake

Watatu hao ni Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi, Mwakilishi wa Wanawake wa Uasin Gishu, Gladys Boss, na Katibu Mkuu wa chama cha United Democartic Alliance (UDA) Veronica Maina

Wateule hao watamwakilisha Rais Mteule na kutetea maslahi yake katika kamati ya wanachama 20 kabla ya kuapishwa, ikiwa hakuna ombi la kupinga kuchaguliwa kwake litawasilishwa katika Mahakama ya Juu kufikia wiki ijayo


……………..


President-elect William Ruto has submitted a three-member list of representatives to the transition committee that is tasked with ensuring the smooth handover of power from President Uhuru Kenyatta to his successor.

The three are National Assembly Speaker Justin Muturi, Uasin Gishu Woman Representative Gladys Boss, and United Democartic Alliance (UDA) party Secretary General Veronica Maina.

The trio will now represent the President-elect and champion his interests in the 20-member committee ahead of the swearing-in if no petition against his election is filed at the Supreme Court by next week.

The outgoing government started preparations to usher in the next government in the days leading upto the declaration of results and winner of the August 9 presidential poll by the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC).

Source: Citizen Digital
 
Meanwhile Azimio Team Raila wanalalamika wabunge wao wanahamia kwa president-elect Ruto kwa spidi ya 5G.
 
Ruto atakuwa source ya kuvunja east Africa, bad deals maker
 
Wakenya sasa watatafunwa hadi mifupa yao. Alah alah shenzi sana (Atwoli huyo kasema; sio mimi).
 
Back
Top Bottom