Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Rais mteule, William Ruto amewasilisha orodha ya wawakilishi kwa kamati ya mpito ambayo ina jukumu la kuhakikisha makabidhiano ya mamlaka kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta hadi kwa Mrithi wake
Watatu hao ni Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi, Mwakilishi wa Wanawake wa Uasin Gishu, Gladys Boss, na Katibu Mkuu wa chama cha United Democartic Alliance (UDA) Veronica Maina
Wateule hao watamwakilisha Rais Mteule na kutetea maslahi yake katika kamati ya wanachama 20 kabla ya kuapishwa, ikiwa hakuna ombi la kupinga kuchaguliwa kwake litawasilishwa katika Mahakama ya Juu kufikia wiki ijayo
……………..
President-elect William Ruto has submitted a three-member list of representatives to the transition committee that is tasked with ensuring the smooth handover of power from President Uhuru Kenyatta to his successor.
The three are National Assembly Speaker Justin Muturi, Uasin Gishu Woman Representative Gladys Boss, and United Democartic Alliance (UDA) party Secretary General Veronica Maina.
The trio will now represent the President-elect and champion his interests in the 20-member committee ahead of the swearing-in if no petition against his election is filed at the Supreme Court by next week.
The outgoing government started preparations to usher in the next government in the days leading upto the declaration of results and winner of the August 9 presidential poll by the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC).
Source: Citizen Digital
Watatu hao ni Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi, Mwakilishi wa Wanawake wa Uasin Gishu, Gladys Boss, na Katibu Mkuu wa chama cha United Democartic Alliance (UDA) Veronica Maina
Wateule hao watamwakilisha Rais Mteule na kutetea maslahi yake katika kamati ya wanachama 20 kabla ya kuapishwa, ikiwa hakuna ombi la kupinga kuchaguliwa kwake litawasilishwa katika Mahakama ya Juu kufikia wiki ijayo
……………..
President-elect William Ruto has submitted a three-member list of representatives to the transition committee that is tasked with ensuring the smooth handover of power from President Uhuru Kenyatta to his successor.
The three are National Assembly Speaker Justin Muturi, Uasin Gishu Woman Representative Gladys Boss, and United Democartic Alliance (UDA) party Secretary General Veronica Maina.
The trio will now represent the President-elect and champion his interests in the 20-member committee ahead of the swearing-in if no petition against his election is filed at the Supreme Court by next week.
The outgoing government started preparations to usher in the next government in the days leading upto the declaration of results and winner of the August 9 presidential poll by the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC).
Source: Citizen Digital