johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nakumbuka Wakati anayadhibiti maandamano ya UKUTA yaliyopangwa na Chadema Shujaa Magufuli alimwaga askari polisi kila kona Makamanda wa Ufipa st wakasalimu amri
Ndivyo imetokea Nairobi leo, Raila kila anakoenda polisi wa kutosha wanamfuatilia nyuma
Kiufupi Ruto ameyadhibiti maandamano hadi sasa!
Ndivyo imetokea Nairobi leo, Raila kila anakoenda polisi wa kutosha wanamfuatilia nyuma
Kiufupi Ruto ameyadhibiti maandamano hadi sasa!