Ruto kausambaratisha Mlima kwa kuugawa vipande 4 Vinara wao Prof Kindiki, Nyoro, Anna Waiguru na Gachagua, ahofia Nguvu ya Kanda ya Ziwa Tanzania!

Ruto kausambaratisha Mlima kwa kuugawa vipande 4 Vinara wao Prof Kindiki, Nyoro, Anna Waiguru na Gachagua, ahofia Nguvu ya Kanda ya Ziwa Tanzania!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mlima ukiwa na Nguvu Moja ni lazima Rais atoke Ukikuyu utake usitake

Ni kama 2020 hapa Tanzania Kanda ya Ziwa yenye 35% ya Wapiga Kura wote Shujaa Magufuli aliiunganisha na kupata Ushindi wa kihistoria wa 84%

Gachagua alitaka kukopa Magufulication kujiandaa na uchaguzi wa 2027 Lakini Ruto amemuwahi na sasa Mlima una Vinara 4 wanaojitegemea ambao ni Anna Waigiru, Prof Kindiki, Bwashee Nyoro na Rig G

Mlima kwisha Habari yake 😂
 
Mlima ukiwa na Nguvu Moja ni lazima Rais atoke Ukikuyu utake usitake

Ni kama 2020 hapa Tanzania Kanda ya Ziwa yenye 35% ya Wapiga Kura wote Shujaa Magufuli aliiunganisha na kupata Ushindi wa kihistoria wa 84%

Gachagua alitaka kukopa Magufulication kujiandaa na uchaguzi wa 2027 Lakini Ruto amemuwahi na sasa Mlima una Vinara 4 wanaojitegemea ambao ni Anna Waigiru, Prof Kindiki, Bwashee Nyoro na Rig G

Mlima kwisha Habari yake 😂
Wakikuyu ni sawa na Wachagga ,pesa na ukabila mbele

USSR
 
Vipi wakaungana na kusimamisha mmoja
Haiwezekani watu wanawachukia hata bila kosa.Upigaji kwa sasa ni mkubwa mno ila wapigaji hawaitwi wezi!!Ila mchaga anaitwa mwizi shida ni ubaya wa jina nafkiri,ila wako poa tu!!
 
Hakuna siku inapita bila mchaga kutajwa kwenye mitandao hapa Tanzania,wakati kuna makabila zaidi ya 130.Unagundua kuna kitu kizuri wamebeba tofauti na wengine.
Zile hips za dada zao aisee mimi hoi japo miguu kama fito
 
Mlima ukiwa na Nguvu Moja ni lazima Rais atoke Ukikuyu utake usitake

Ni kama 2020 hapa Tanzania Kanda ya Ziwa yenye 35% ya Wapiga Kura wote Shujaa Magufuli aliiunganisha na kupata Ushindi wa kihistoria wa 84%

Gachagua alitaka kukopa Magufulication kujiandaa na uchaguzi wa 2027 Lakini Ruto amemuwahi na sasa Mlima una Vinara 4 wanaojitegemea ambao ni Anna Waigiru, Prof Kindiki, Bwashee Nyoro na Rig G

Mlima kwisha Habari yake 😂
Fanya utafiti wako vizuri mkikuyu huwezi mnunua. Watu wanakana muswada huko!!
 
Hakuna siku inapita bila mchaga kutajwa kwenye mitandao hapa Tanzania,wakati kuna makabila zaidi ya 130.Unagundua kuna kitu kizuri wamebeba tofauti na wengine.
Wachagga wameharibiwa na na hii SACCOS ila wapo wazuri tu na ni wachapa kazi ila sasa wale ambao wamekosa kazi ya kufanya wakikimbilia SACCOS hakika wanaharibu mazuri yote tulio nayo kama Mangi”s
 
Mlima ukiwa na Nguvu Moja ni lazima Rais atoke Ukikuyu utake usitake

Ni kama 2020 hapa Tanzania Kanda ya Ziwa yenye 35% ya Wapiga Kura wote Shujaa Magufuli aliiunganisha na kupata Ushindi wa kihistoria wa 84%

Gachagua alitaka kukopa Magufulication kujiandaa na uchaguzi wa 2027 Lakini Ruto amemuwahi na sasa Mlima una Vinara 4 wanaojitegemea ambao ni Anna Waigiru, Prof Kindiki, Bwashee Nyoro na Rig G

Mlima kwisha Habari yake 😂
How
 
Mlima ukiwa na Nguvu Moja ni lazima Rais atoke Ukikuyu utake usitake

Ni kama 2020 hapa Tanzania Kanda ya Ziwa yenye 35% ya Wapiga Kura wote Shujaa Magufuli aliiunganisha na kupata Ushindi wa kihistoria wa 84%

Gachagua alitaka kukopa Magufulication kujiandaa na uchaguzi wa 2027 Lakini Ruto amemuwahi na sasa Mlima una Vinara 4 wanaojitegemea ambao ni Anna Waigiru, Prof Kindiki, Bwashee Nyoro na Rig G

Mlima kwisha Habari yake 😂
Mara bao la mkono Mara kashinda, tukuamini wewe au Nape?
 
Back
Top Bottom