Ruto kuhutubia Taifa usiku huu, kuna uwezekano akatangaza hali ya hatari

Ruto kuhutubia Taifa usiku huu, kuna uwezekano akatangaza hali ya hatari

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
KENYA: Rais William Ruto anatarajiwa kuhutubia Taifa usiku wa leo Juni 25, 2024 ikiwa ni siku iliyotawaliwa na Maandamano katika maeneo mbalimbali ya Nchi hiyo yakiongozwa na Vijana wenye Umri Mdogo (Gen Z)

Hatua ya Ruto inakuja wakati taarifa zikieleza takriban Watu 10 wameuawa kwa kushambuliwa na Askari waliotumia Risasi za Moto katika kupambana na Waandamanani

Wakati huo huo, Mabalozi 12 wanaowaziwakilisha Nchi za Canada, Denmark, Finland, Ujerumani, Ireland, Uholanzi, Estonia, Sweden, Romania, Ubelgiji, Uingereza na Marekani zimetoa taraifa ya kusikitishwa na Mauaji ya Waandamanaji na kuzikumbusha Mamlaka kuheshimu na kusimamia Misingi ya Demokrasia na Kuwalinda Raia

1719336803408.png
PIA SOMA
- LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Waandamanaji wafika Bungeni, wawili wauawa kwa risasi
 
Kwenye finance bill yetu naomba aliesoma akaielewa anielemishe mpango mkakati uilopo kuongeza pato la nchi effectively kupitia

1. Hifadhi za kitalii
2. Madini
3. Gesi
4. Maziwa
5. Bahari
6. Makamaa ya mawe
7. Misitu
8. Ardhi iliyopo hasa fertile land
9. Nchi kukaa sehemu ya kimkakati ina uwezo wa kuhudumia nchi 6 za land locked countries (Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia, Congo Na Malawi) kuzalisha matrilion ya shilingi.

Naomba kujua kama vina msukumo wa kutosha, tofauti na kukandamizia focus kwenye tozo na kodi kwa wananchi.
 
Marq anatangaza ajira mpya za pokice kwa Gen Z, wakaumane wao kwa wao kwajili yake.
 
Hebu wabunge wapunguze mishahara kama kweli wana-support hiyo bill
 
Back
Top Bottom