Ruto (kwa Wabunge wa Kenya Kwanza): Kuweni makini sana, mnaweza kamatwa ovyo

Ruto (kwa Wabunge wa Kenya Kwanza): Kuweni makini sana, mnaweza kamatwa ovyo

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Rais-Mteule Ruto amewaambia Wabunge wa Kenya Kwanza japokuwa watakuwa na uwiano mzuri bungeni wasichukulie jambo hilo kimchezo mchezo badala yake wanatakiwa kuwa makini sana.

Aliongeza kuwa wanashindana timu inayotapata tapa sana, akisema kuwa kama wanaweza kutumia Kamati ya Usalama wa Taifa kujaribu kupindua matakwa ya watu basi wanaweza kufanya vibaya zaidi, wanahangaika sana kupata Spika kutoka upande wowote.

Aliwaasa wabunge hao kwa kuwaambia baadhi yao wanaweza kukamatwa ili tu kupunguza idadi yao hivyo wanatakiwa kuwa makini sana.
 
Hiyo inakupa ukweli kuwa hata yeye hana uwezo wa uhakika kuwahakishia usalama wao. Atakuwa amewasaidia yale malimbukeni yanayo fikiri Ruto kuwa Rais changamoto zimeisha kwa vile yuko upande wake Rais.
 
Back
Top Bottom