J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Feb 8, 2025 #1 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki Dr Ruto amesema Suluhu ya Kijeshi haitasaidia DRC bali kinachotakiwa ni mazungumzo Source Citizen TV
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki Dr Ruto amesema Suluhu ya Kijeshi haitasaidia DRC bali kinachotakiwa ni mazungumzo Source Citizen TV
Iyerdoy JF-Expert Member Joined Nov 17, 2023 Posts 1,755 Reaction score 1,939 Feb 8, 2025 #2 johnthebaptist said: Mwenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki Dr Ruto amesema Suluhu ya Kijeshi haitasaidia DRC bali kinachotakiwa ni mazungumzo Source Citizen TV Click to expand... Citizen TV si ni ya kwake? Majeshi yaliyokimbia DRC hadi na kucha ndala huko si ni ya kwake? Anajua endapo ikipitishwa Option ya Suluhu ya Kijeshi; vijana wake watamfedhehesha kwa mara nyingine tena kwenye medani za kivita.
johnthebaptist said: Mwenyekiti wa Jumuiya ya Africa Mashariki Dr Ruto amesema Suluhu ya Kijeshi haitasaidia DRC bali kinachotakiwa ni mazungumzo Source Citizen TV Click to expand... Citizen TV si ni ya kwake? Majeshi yaliyokimbia DRC hadi na kucha ndala huko si ni ya kwake? Anajua endapo ikipitishwa Option ya Suluhu ya Kijeshi; vijana wake watamfedhehesha kwa mara nyingine tena kwenye medani za kivita.