Ruto: Wakenya wengi walioandamana hawajui yaliyomo kwenye Muswada wa Fedha

Ruto: Wakenya wengi walioandamana hawajui yaliyomo kwenye Muswada wa Fedha

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Alipokuwa akihojiwa jana tarehe 30/6 na waandishi wa habari, Rais Ruto alisema japo amekubali kuondoa na kutokusaini Finance bill hiyo lakini anasikitika sana kwani bill hiyo ilikuwa na manufaa makubwa wa wakenya wote na ililenga kuikomboa kuingia kwenye madeni makubwa.

Alisema kuwa Wakenya wengi walioandamana kupinga mswaada huo hawajui kilichomo ndani ya bill hiyo... Wengi wao wamefuata mkumbo wasijue kuwa wanapiga teke maendeleo yao wenyewe.
Alisema kuwa anaamini kuwa wabunge walio pitisha bill hiyo ni mashujaa.

Ni wazi kuwa pamoja na Rais kuiondoa bill hiyo lakini anajua italeta athari kubwa sana kwenye maendeleo ya wananchi.

=====

Pia soma: Yanayojiri Maandamano Kenya: Waandamanaji wafika Bungeni, wawili wauawa kwa risasi
 
Vile walitoa rushwa ya kiaje ?
 

Attachments

  • IMG-20240630-WA0001.jpg
    IMG-20240630-WA0001.jpg
    68.9 KB · Views: 5
ruto muongo muongo, janja janja, anaangalia ugali wake asiwadanganye wakenya, hayo maden yalitoka wap?
 
ruto muongo muongo, janja janja, anaangalia ugali wake asiwadanganye wakenya, hayo maden yalitoka wap?
toa ushahidi kaongopa nini. usifuate chuki za kisiasa. Mwamba anapiga sana kazi ili anachafuliwa na kuvutwa shati na wahasimu wake wa kisiasa.

kosa alilolifanya ni kubali kuuondoa mswada alipaswa afanye maamuzi magumu ya kusaini hiyo finance bill kwa masilahi ya wakeny.
 
Back
Top Bottom