mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Leo natarajia tambo na shombo nyingi za Masau Bwire. Ruvu 2 Utopolo 1.
Timu lao bovu msimu huu.
Timu lao bovu msimu huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
timu bovu lilikufunga ngapi vile?Leo natarajia Tambo na shombo nyingi za masau bwire. ,,Ruvu 2 Utopolo 1.
Timu lao bovu msimu huu
Mech inaanza saa sangapi ??Leo natarajia tambo na shombo nyingi za Masau Bwire. Ruvu 2 Utopolo 1.
Timu lao bovu msimu huu.
Kuweka muamala au ??Baadae utajikausha kama sio wewe ulieandika. Yanga hakuna mzaha anaekuja ni kuweka tu....
NakaziaMimi ni shabiki wa mnyama ila hisia kwenye pesa hapana, nimembetia yanga kushinda hii game.
Utajua baade tunaweka nini, stay tunedKuweka muamala au ??
Saa12:15Mech inaanza saa sangapi ??
Mliowafunga sita si ndio hawa hawa sasa kuwabania kivipiMkwasa hawezi kuibania Yanga. Watapigwa goli 4 bila majibu, Ruvu kwa Simba Mkwasa angebana lkn kwa Yanga ataweka watu wa maaana benchi ili ku weaken timu
Amka upesi utakojolea godoro.Leo natarajia tambo na shombo nyingi za Masau Bwire. Ruvu 2 Utopolo 1.
Timu lao bovu msimu huu.
Vice versaLeo natarajia tambo na shombo nyingi za Masau Bwire. Ruvu 2 Utopolo 1.
Timu lao bovu msimu huu.