LGE2024 Ruvuma: ACT-Wazalendo na CUF zaungana mtaa wa Nakapanya kuiondoa CCM

LGE2024 Ruvuma: ACT-Wazalendo na CUF zaungana mtaa wa Nakapanya kuiondoa CCM

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

the guardian 17

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
395
Reaction score
570
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu amewapongeza viongozi wa CUF na ACT Wazalendo katika kijiji cha Nakapanya, kata ya Nakapanya, wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma kwa makubaliano yao ya kuunga mkono kwa pamoja wagombea uenyekiti wa kijiji wa ACT Wazalendo na wa vitongoji wa CUF.Amesema kwenye mapambano ya uchaguzi kila aina ya mbinu na silaha inapaswa kutumika kupambana na CCM ikiwamo kuweka pembeni tofauti za kiitikadi.
1732534912377.png
 
Back
Top Bottom