Ruvuma: Afikishwa mahakamani kwa kuzaa na binti yake. Alimlaghai kwa kumwambia anamtibu kupitia uume wake

Do! Inatisha sana, inawezekana ni maelekezo ya mganga. Imani za kishirikina.
 
Ushirikina ni uovu
 
Baradhuli huyu ahasiwe... Awe ndafu
 
Kama huyo binti angekuwa mkubwa na amekubali mwenyewe lingekuwa kosa kwa sheria za Jamhuri? Maana hapo naona kosa ni kama ametembea na bint chini ya 18yrs. Au pana kosa lingine kwa mujibu wa sheria zetu?
 
Haya mambo jaman hua najiuliza kuna mangapi mengine kama haya yanaendelea hayajabahatika kujulikana. Mungu endelea kuwaumbua waovu hawa.
 
Huyo mzee adhabu ya kunyongwa itakua nzuri hata kwake pia coz maisha yake hapa Duniani hayana maana tena kwa dhambi na aibu aliyojichagulia,

Anyway Mungu atatoa hukumu yake pia.
 
Haya mambo jaman hua najiuliza kuna mangapi mengine kama haya yanaendelea hayajabahatika kujulikana. Mungu endelea kuwaumbua waovu hawa.
Wanasema zama iliyojaa mahasi ilikuwa ni ya kina luti sodomah na Gomorrah

Sasa kama ya kwetu ina nafuu pata picha huko kulikuaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…