LGE2024 Ruvuma: Jenista Mhagama apiga kura. Wanatembelea V8 wanapiga kura kwenye mapagala!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024



Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Mkoa wa Ruvuma Mhe. Jenista Mhagama leo Novemba 27, 2024 ameungana na wananchi wa kitongoji cha Magigi, kata ya Parangu katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kuchagua vongozi kwa nafasi za Mwenyekiti wa Kijiji, Kitongoji, Mjumbe wa Kundi Mchanganyiko na Mjumbe wa Kundi la Wanawake. Ametoa shime kwa wananchi wa maeneo mengine kujitokeza kwenye uchaguzi huu kuchagua viongozi ngazi ya msingi watakaosaidiana nao bega kwa bega kwa ajili ya maendeleo ya Taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…