Ruvuma, Lindi, Tanga na Tabora ngome za CCM zilizozama kwa umaskini, Ngome za wapinzani zipo uchumi wa Kati

Ruvuma, Lindi, Tanga na Tabora ngome za CCM zilizozama kwa umaskini, Ngome za wapinzani zipo uchumi wa Kati

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Maeneo yote wanayochagua CCM ni maskini wa kila kitu, CCM ikishachaguliwa ukimbilia kupigania maendeleo ya maeneo ya majimbo ya upinzani ili yarejeshwe kwao UCHAGUZI ujao. Hakuna fadhila wanayopata wanaowachagua na ndiyo maana nchi haipigi hatua.

Mwanza waliwachagua lakini wabunge wote walibaki kula bata Dar. Arumeru toka Nasary atenguliwe haisikiki Tena na hakuna mradi wa maana ulioelekezwa huko ,Nguvu kubwa imeelekezwa Arusha kwa Lema.

Singida ilianza kupanda chati lakini waliorejesha majimbo CCM wamesaulika hakuna anayewasemea.

Nenda Tanga umaskini mkubwa huku mkoa una rasilimali zote, nenda Ruvuma hata Uhuru bado hawajapata, Nenda Lindi utachoka, mkoa wa pwani umevamiwa na wakoloni nakumilikisha mahekari ya ardhi huku wazawa wakibaki kucheza bao.

Hakuna elimu wa afya ya kueleweka.

LEO MGOMBEA WA CCM ANASEMA TUSIPOCHAGUA CCM ALETI MAENDELEO, NI WAPI WALIPOCHAGUA CCM WAKAPATA MAENDELEO? KUCHAGUA UPINZANI NDIO KUCHAGUA MAENDELEO
 
Maeneo yote wanayochagua Ccm Ni maskini wa kila kitu, CCM ikishachaguliwa ukimbilia kupigania maendeleo ya maeneo ya majimbo ya upinzani ili yarejeshwe kwao UCHAGUZI ujao. Hakuna fadhila wanayopata wanaowachagua na ndiyo maana nchi haipigi hatua...
Huwa najiuliza kwann sehemu wanazokumbatia maccm kuna maskini na wajinga wengi sana
 
Mbeya mjini barabara za vumbi mtaani jiji limejaa vumbi. Kigoma mjini barabara za vumbi kila Kona, mji hautamaniki hata kidogo.
Bunda mjini wananchi wanahangaika kila siku hawana huduma ya maji licha ya kuishi karibu na ziwa, mji upo gizani hakuna hata taa mbovu za barabarani.

Kawe huduma za kijamii ni mbovu kero za maji na nk. Hayo Ni baadhi ya maeneo tu niliyo yachukua ambayo ni ngome za upinzani zilizo chini ya wabunge wanao sadikika Ni waongeaji na wapiga kelele kwelikweli ndani na nje ya bunge.

MWISHO: upinzani Ni mhimu kuwepo katika kuleta maendeleo ya kitu chochote kile. Leo hii ligi ya Tanzania isingenoga Kama isingekuwepo Simba na Yanga.
 
Afu Kuna lijitu lina kuja kusema jamaa ana tosha

SUBIRI KIDOGO
 
CCM ni wanyang'anyi wame wafukarisha wafanyakazi na wafanyabiashara
 
Lakini pia usijisahaulishe kua serikali ya ccm toka uhuru ndiyo iliyokua ikukusanya kodi na ndiyo iliyoshindwa kuleta hivyo vyote na imekua madarakani toka uhuru.Kwahiyo udumavu wa nchi na watu wake hakuna mahali ccm itakwepa kua haihusiki.
Mbeya mjini barabara za vumbi mtaani jiji limejaa vumbi. Kigoma mjini barabara za vumbi kila Kona, mji hautamaniki hata kidogo. Bunda mjini wananchi wanahangaika kila siku hawana huduma ya maji licha ya kuishi karibu na ziwa, mji upo gizani hakuna hata taa mbovu za barabarani...
 
Acha kuweweseka.Kwani alichokisema ni uongo?.Au wewe umeshikiwa akili.
Uongo ndio
Nambie kawe kuna nn?
Ikungwi kwa lisu kuna nn?
Tarime kwa huyo msagaji wenu kuna nn?
Hai kwa mwana siasa mkomaavu aliyetambua show ya magu na kukubali show imefanyika kuna nn?
Kw huyo aliye msaliti BK membe kuna nn?
Kwa PJ kuna nini?
kwa Mnyika kuna nn?
kwa Heche kuna nn?
acheni uzandiki na kujiona kuwa mna akili sana kuliko wengine nchi hii!!
Yuda wenu kila analoongea mnakenua tu meno kama mbwa aliyekosa mabaki ya maozea ya chakula ya mama ntilie jalalani

Kila kitu ni sahihi kutoka kwa Mbeligiji hahahaaa, utumwa hatari sana
 
Mkuu kweli kabisa mm natokea mkoa wa RUVUMA hali yetu n mbaya sana lakn wananchi huwaambii kitu kuhusu ccm

Japo wapo wasioipenda ccm ila s wengi kuna maeneo kama muhukuru nambendo huko hata gari kufka n shida lakn hawajar juu ya maumivu haya wanayopitia wao wakipewa ahad hewa na rushwa za kanga inatosha

CCM HAIJAWAHI KUWA RAFIKI WA MAENDELEO
 
Back
Top Bottom